Denda limeniponza

.....enzi zetu tunakua (miaka ya 70)mambo ya denda hayakuwepogi. kwahiyo sikoment chochote...
 
Ni kama miujiza! Nilikua mchumba ambaye kweli ni mzuri kisura,kitabia na umbo pia ajabu ni mara nyingi tukiwa tunasex hataki maswala ya denda kabisa nikachunguza nini tatizo labda ananuka mdomo nkakuta yuko safi,karibuni nkaamua kumwandaa vizuri ili nipate denda maana ndo kinogesho pia,mtoto baada ya kulainika na kua hoi hajielewi akawa anatoa ushirikiano kisawia denda full lita,katikat ya kujihudumia nikahisi kitu kizito mdomoni, Lahaula! kutaharuki nikatema meno manne,duh! nkahisi ni zombie/vampire na ndo muda wa kuniua umewadia,kwa ujasir nikamshika kichwani ili nimwone vizuri,ghafla wigi likachomoka akabak kipara na mdomon meno ya mbele hamna maana alikua anaongea kama kutaharuki(full vampire).Dah! Kwa hofu nikaanguka chini sikutambua kilichoendelea,kuja kushtuka kashaondoka nikabak na nundu ya kichwani coz niliangukia kichwa,tumeachanam paka sasa sina hamu na hawa mabinti wa urembo wa kujiongezea! Kitu natural beauty basi,girls muwe in reality plz

I"m dead.
 
ndoto zako ndo unatuhadithia!

alafu muda ulioandika hii sred ni muda wa kuota ndoto za mazombi!
 
Ni kama miujiza! Nilikua mchumba ambaye kweli ni mzuri kisura,kitabia na umbo pia ajabu ni mara nyingi tukiwa tunasex hataki maswala ya denda kabisa nikachunguza nini tatizo labda ananuka mdomo nkakuta yuko safi, karibuni nkaamua kumwandaa vizuri ili nipate denda maana ndo kinogesho pia.

Mtoto baada ya kulainika na kua hoi hajielewi akawa anatoa ushirikiano kisawia denda full lita, katikati ya kujihudumia nikahisi kitu kizito mdomoni, Lahaula! kutaharuki nikatema meno manne, duh! nkahisi ni zombie/vampire na ndo muda wa kuniua umewadia, kwa ujasiri nikamshika kichwani ili nimwone vizuri,ghafla wigi likachomoka akabak kipara na mdomon meno ya mbele hamna maana alikua anaongea kama kutaharuki(full vampire).

Dah! Kwa hofu nikaanguka chini sikutambua kilichoendelea,kuja kushtuka kashaondoka nikabak na nundu ya kichwani coz niliangukia kichwa,tumeachanam paka sasa sina hamu na hawa mabinti wa urembo wa kujiongezea!

Kitu natural beauty basi, girls muwe in reality plz.

Hahahahahah, jf ina vituko aisee
 
mmh na wewe ulikua unakula denda kama mapeazi umetisha mjomba, nijuavyo mimi denda watu hunyonya tena si kunyonya hivi hivi nikunyonya kwa hisia
 
Hata kama imekutokea kweli umeshindwa kuiandaa vizuri,huyo mtoto ulivyomsifia na hivyo vituko ulivyovielezea havimake sense
 
Ni kama miujiza! Nilikua mchumba ambaye kweli ni mzuri kisura,kitabia na umbo pia ajabu ni mara nyingi tukiwa tunasex hataki maswala ya denda kabisa nikachunguza nini tatizo labda ananuka mdomo nkakuta yuko safi, karibuni nkaamua kumwandaa vizuri ili nipate denda maana ndo kinogesho pia.

Mtoto baada ya kulainika na kua hoi hajielewi akawa anatoa ushirikiano kisawia denda full lita, katikati ya kujihudumia nikahisi kitu kizito mdomoni, Lahaula! kutaharuki nikatema meno manne, duh! nkahisi ni zombie/vampire na ndo muda wa kuniua umewadia, kwa ujasiri nikamshika kichwani ili nimwone vizuri,ghafla wigi likachomoka akabak kipara na mdomon meno ya mbele hamna maana alikua anaongea kama kutaharuki(full vampire).

Dah! Kwa hofu nikaanguka chini sikutambua kilichoendelea,kuja kushtuka kashaondoka nikabak na nundu ya kichwani coz niliangukia kichwa,tumeachanam paka sasa sina hamu na hawa mabinti wa urembo wa kujiongezea!

Kitu natural beauty basi, girls muwe in reality plz.

Aiseeee
 
Back
Top Bottom