Denda limeniponza

Administrator aihamishe hii thread kwenye vichekesho
 
Last edited by a moderator:
Ww mwenyewe inaonekana ni zombi pia cku zote hakuona kama hana meno hii thread ungepeleka kwenye udaku au fb mwehu ww
 
Hakufanikiwa kukuingiza vidole kwenye tigo yako kweli? maana inaonekana ulizimia ukawa hujitambui
 
Hivi ni lazima mtu kupost?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Alikuwa na meno ya bandia jamani. Hebu mpeni faraja mwenzenu

Analalamika udenda udenda kitu gani,mwingine unakuta ana ulimi mfupi hata hauwezi kuunyonya,sijui ndo wabena walivyo hata sielewi
 
Stori kama hizi huwa nazipata kwa Mudy marejeta pale Sinza Kumekucha...

Huwa tunaziita chai...
 
Back
Top Bottom