Demu wangu mpya anatema cheche

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,876
155,842
Baada ya kusota kwenye benchi la mapenzi kwa muda wa kama miezi minne na nusu, baada ya kupigwa kibuti na demu niliyempenda sana, hatimaye mwezi uliopita nimepata mwali mpya.
My sweet mwali ananipenda kwa dhati, nasema hivi kutokana na vile alivyo commited kwangu.
Anafanya kila kitu ambacho mwanamke bora inabidi amfanyie mumewe.
Tatizo huyo mwenzangu ana harufu kali sana ya kinywa, kwapa na mashine..
Hata kama ametoka kuoga muda huohuo na kupiga mswaki, harufu kali haimuishi wala kumpungua.
Nimsaidieje? Maana chafya zitaniua mwana wa mwenzenu.
 
Best kama ni utani basi umefunika na kama uko serious. Nenda kwa kiongozi wako wa dini, funga ndoa halali naye acha zinaa halafu umvumilie katika shida na raha. Ndo maisha ya ndoa hayo. Na cheche zikiendelea mwoneni Daktari!
 
Baada ya kusota kwenye benchi la mapenzi kwa muda wa kama miezi minne na nusu, baada ya kupigwa kibuti na demu niliyempenda sana, hatimaye mwezi uliopita nimepata mwali mpya.
My sweet mwali ananipenda kwa dhati, nasema hivi kutokana na vile alivyo commited kwangu.
Anafanya kila kitu ambacho mwanamke bora inabidi amfanyie mumewe.
Tatizo huyo mwenzangu ana harufu kali sana ya kinywa, kwapa na mashine..
Hata kama ametoka kuoga muda huohuo na kupiga mswaki, harufu kali haimuishi wala kumpungua.
Nimsaidieje? Maana chafya zitaniua mwana wa mwenzenu.

mmhh!.....kazi ipo
 
Kaka una spidi,only 4 months ukafunika gap?duh!

Kaka inabidi apate ushauri kutoka kwa Docter.hata hivyo hayo ni mambo madogo tu
 
utazoea tu chafya kitu gani kama kifaa cha nguvu funga ndoa labda itakwisha
 
Baada ya kusota kwenye benchi la mapenzi kwa muda wa kama miezi minne na nusu, baada ya kupigwa kibuti na demu niliyempenda sana, hatimaye mwezi uliopita nimepata mwali mpya.
My sweet mwali ananipenda kwa dhati, nasema hivi kutokana na vile alivyo commited kwangu.
Anafanya kila kitu ambacho mwanamke bora inabidi amfanyie mumewe.
Tatizo huyo mwenzangu ana harufu kali sana ya kinywa, kwapa na mashine..
Hata kama ametoka kuoga muda huohuo na kupiga mswaki, harufu kali haimuishi wala kumpungua.
Nimsaidieje? Maana chafya zitaniua mwana wa mwenzenu.

kijana, unastahili sala ya toba.
 
Baada ya kusota kwenye benchi la mapenzi kwa muda wa kama miezi minne na nusu, baada ya kupigwa kibuti na demu niliyempenda sana, hatimaye mwezi uliopita nimepata mwali mpya.
My sweet mwali ananipenda kwa dhati, nasema hivi kutokana na vile alivyo commited kwangu.
Anafanya kila kitu ambacho mwanamke bora inabidi amfanyie mumewe.
Tatizo huyo mwenzangu ana harufu kali sana ya kinywa, kwapa na mashine..
Hata kama ametoka kuoga muda huohuo na kupiga mswaki, harufu kali haimuishi wala kumpungua.
Nimsaidieje? Maana chafya zitaniua mwana wa mwenzenu.

Hongera na pole,
dawa ndogo mpe dozi ya vitunguu swaumu. chukua vitungu kama vitano,viblend na maji kidogo,then asubui before leaving for work ,apate dozi ya nusu kikombe,kuoga atumie detol,or ntaweza kukusupply with essential oils perfume of ur choice, yasmin,roses ,lemon etc ,after 2months atakuwa ameshapona na anatoa harufu kama roses na yasmin,
labda anakuwa na tabia nzuri ,ukarimu kwa ajili ya hilo tatizo lake,likishaondoka anaweza kukubadilikia kwani atakuwa ameongezeka value,ni sawa na nyumba isiyo na umeme na maji,ukishaweka umeme,maji rangi kila mtu atapenda kuja or kupanga/

cha msingi ni kuongea naye akubali kutumia dozi na kufuata maelekezo
 
Vicks katikati ya mdomo na pua itakusaidia. Nunua vikopo kadhaa, ukimuona tu, we pakaza haraka mambo yatakuwa shwari!
 
Well...tatizo la kwapa lianweza kuishwa kwa kutumia deodorant na vikata harufu vingine ikiambatana na medicated soaps zinazoua vimele vya ki bakteria vinavyoleta harufu, tatizo la 'mashine' pia linaweza kumalizika kwa usafi wa kina kwa kutumia medicated soap na pia ni vyema akafanye uchunguzi wa mkojo ili kujua kama ana maambukizi ya magonjwa yanayoweza kuchangia harufu kali, na ikigundulika ni hivyo basi atapatiwa dawa husika...kuhusu harufu ya mdomo kuna dawa za kusukutua ambazo zinasaidia kuua vimelea viletavyo harufu kali zinaitwa "mouth wash"....hizi zina nguvu ya ziada kuliko hizi dawa zetu za meno a.k.a kariakoo dent, lakini pia ni vyema kupata ushauri wa madaktari husika kwani inawezekan harufu ya mdomo inatokaka na vidonda vya tumbo vinaposababisha kitu kijulikanacho kama "perforated peptic ulcer"...kwa hiyo kama unampenda shemeji yetu basi ni vyema kwa utaratibu ukamshauri kutumia vidokezo hapo juu huku ushauri wa madaktari husika wa sehemu hizo i.e. Ngozi = dermatologist, mdomo - dentist na "maashine" - gynacologist

Haya kaka...hizo ndo gharama za mapenzi....kila la heri....
 
Ilishawahi nipata zamaaaani, demu nikitaka vitu ilibidi nimpeleke gesthouse maake nyumbani wiki mzima harufu haiishi. Siku ikabidi nimwambie sababu ya kumpeleka nyumba za wageni. kufanya hadith ndefu fupi, alichofanya alienda kwa wamasai pale Kariakoo wakampa miti shamba, baada ya wiki tu kila kitu saafiii.
 
du kaka pole sana mkubwa iyo isikupe edek wala nini mwanamke tabia ayo mengine yanatibik,wala usisubutu kumwacha kwa ajili iyo
utamuumiza sana,kama kweli unampenda kama anavyo kupenda msaidie apone
 
hahaa du pole buji kwa chafya!
na mim nasisitiza kwenda kuwaona wataalam kwa ajili ya tiba!pia ajisugue vizuri makwapani na kujisafisha vizuri hiyo machine sbb wengine wanaoga lkn hawajisuggui vizuri hasa kwapani!
 
Pole ndungu ila spidi yako kali miezi 4 tu umeziba ufa!
Suala la harufu ya kwapa njia asilia ni kutumia limao ama ndimu kila siku asubui na jioni anasugua kwapwa kwa muda wa wk 1 inakata kabisa hiyo harufu.
Sala la machine kutoa harufu ni kwamba huyo hajajua jinsi ya kujisafisha vizuri anatakiwa ajisafishe kwa maji mengi atumie kidole chake cha kati kujisafisha hadi pale atakapoona kinatoka kikiwa kisafi kabisa halafu achemshe maji moto aweke kwenye ndoo akalie ili ule mvuke umuingie ndani ya mashine afanye hivyo asubi na jioni kwa wk1 hivyo vote vitakwisha.
suala la mdomo ni upigaji wa mswaki watu hawapigi mswaki vizuri wanadhan kusugua menona ulimi ndio wamemaliza wanasahau fidhi za juu ya ulimi nako kunahitaji kusuguliwa hapo huwa pana kautando kanakuwapo na ndiko kanakotoa hiyo harufu, pamoja na mouthwash kusukutua mdomo
Pia mshauri awe anatumia deodorant,
 
Baada ya kusota kwenye benchi la mapenzi kwa muda wa kama miezi minne na nusu, baada ya kupigwa kibuti na demu niliyempenda sana, hatimaye mwezi uliopita nimepata mwali mpya.
My sweet mwali ananipenda kwa dhati, nasema hivi kutokana na vile alivyo commited kwangu.
Anafanya kila kitu ambacho mwanamke bora inabidi amfanyie mumewe.
Tatizo huyo mwenzangu ana harufu kali sana ya kinywa, kwapa na mashine..
Hata kama ametoka kuoga muda huohuo na kupiga mswaki, harufu kali haimuishi wala kumpungua.
Nimsaidieje? Maana chafya zitaniua mwana wa mwenzenu.

Yeelekea mnaishi wote na huyu unayemuita demu?? Hiyo ni zinaa,jitenge nayo?!!! Pia, kama umeshaona dosari za harufu mbaya ya jasho na mambo mengine basi, kama mtaendelea na mahusiano hadi kufunga ndoa, ni lazima baadaye itakuwa na dosari kama bado tatizo la harufu mbaya litakuwepo!!! Afadhali muachane mapema na uache uzinzi na umwombe Mungu akupe mke unaotokana na ubavu wako!!!! Omba unachotaka na tamka kwa mdomo wako, na itakuwa kwa maana tunaamini kuwa mdomo unaumba.
 
Ni kweli kunabinadamu wameumbwa na hali kama hiyo.....wapo wengi tuu ata apige mswaki mara mia domo kunuka ushuzi wa bubu sikia....mdomoni sijui ila kwapa hilo awe analisugua kwa ndimu kila siku asubuhi mchana jioni au akama akiona shida awe anasugua usiku kabla ya kulala......kuhusu huko kwa bibi ni hivi ndio kuna ile harufu natural inayoleta nakshi na mwamko wa mpaenzi na kuna ile harufu inayotokana na mrundikano wa uchafu hummooo kwenye kishimo kile ANUNUE DETTO YA MAJI.......KISHA AKIENDA KUOGA AAAAH......tene achukue ndoo nzima ya maji achanganye na detto aende bafuni shughuli iwe moja kumuosha bibi tuu...... SHURTIIII KILE KIDOLE CHAKE CHA KATI KIINGIE KUNAKOO MACHINE AFANYE KAMA ANACHOKONOA taratibu akikitoa kidole kile kitakua na UTOKO mweupe ka mtindi ...aingize kidole na kutoa akioshe kidole ndo aingize tena kama mara 5...6...7...YANI Amake sure akiingiza kwa mara ya mwisho kidole chatoka bila UTOKO ULE.....akifanya hivo kila siku aaaaah kunani tena harufu itapungua mwisho itaisha kabisa na utaingia chumvini kwa raha zakooo ati.....MDOMO APIGE MSWAKI KUTWA KILA AKITOKA KULA NA AWE ANATUMIA MOUTH WASHER.MOUTH SPRAY NA BIG JII BAZOKA.......UTAFURAHIA MCHEZO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom