Jaman mi mwenzenu demu anahisi kuwa hapendwi na mama mkwe, so nataka nimwondolee hiyo fikra katika akili zake, ni njia gani ambayo mnaweza kunishauri waungwana? Nahitaji sana maoni yenu
Ni kumuhakikishia tu kwamba Mama Mkwe hana matatizo naye, na labda kumwambia Mama aonyeshe upendo na furaha kwa shemeji yetu.
Jaman mi mwenzenu demu anahisi kuwa hapendwi na mama mkwe, so nataka nimwondolee hiyo fikra katika akili zake, ni njia gani ambayo mnaweza kunishauri waungwana? Nahitaji sana maoni yenu