Dege Village, Kigamboni, waliokula na kuufisadi mradi huu hawajulikani, mradi umebaki magofu!

Hiyo ndio ccm unayoiabudu na kuipigania kuliko unavyojipigania wewe binafsi , humo yumo mfadhili wako Tulia Ackson , halafu unakuja huku unatupigia kelele !

Endelea kumuabudu Shetani , si wamekuahidi njia 4 kwenu !
Wewe jamaa hivi unawezaje kutuhumu tu bila ushahidi,wataje ukiwa na vielelezo hao ccm wenye huo mradi
 

Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.

Aliyeufisadi hajulikani.

Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.

Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu.

Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo.
Kuna haja mtu afungiwe jiwe shingoni na awajibishwe kwa hilo dudu la Dege Village.
 

Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.

Aliyeufisadi hajulikani.

Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.

Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu.

Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo.
Brother Jidula, huu mradi haukufisadiwa, bali ni matokeo ya kukomoana pamoja na mabadiliko ya investments kwenye real estate.
Angalia kawe na Morroco nayo yameachwa kama yalivyo.
Busara itumika projects ziishe na kupangishwa wananchi kwa kodi nafuu na kupelekea kuboresha suala la makazi bora.
Yakibaki kama yalivyo ni hasara kubwa sana pia yana reflect uwezo wetu wa kusolve issues tunazokutana nazo kama inchi.
 
Brother Jidula, huu mradi haukufisadiwa, bali ni matokeo ya kukomoana pamoja na mabadiliko ya investments kwenye real estate.
Angalia kawe na Morroco nayo yameachwa kama yalivyo.
Busara itumika projects ziishe na kupangishwa wananchi kwa kodi nafuu na kupelekea kuboresha suala la makazi bora.
Yakibaki kama yalivyo ni hasara kubwa sana pia yana reflect uwezo wetu wa kusolve issues tunazokutana nazo kama inchi.
📌📌
Nakaza hapa
 

Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.

Aliyeufisadi hajulikani.

Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.

Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu.

Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo.
Kwani aliyevuruga mradi humjui?

Kwa Sasa mradi umeuzwa na wawekezaji Wanajua hatima Yao ila nssf ilishavuta chake.

Mwisho,mnapochagua Rais msiwe mnaokoteza watu from no where.
 

Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.

Aliyeufisadi hajulikani.

Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.

Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu.

Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo.


Mradi wa Dege Eco Village chini ya NSSF umeshauzwa mwaka jana Sept kwa tshs 501 bil… sio wa serikali tena

 
Brother Jidula, huu mradi haukufisadiwa, bali ni matokeo ya kukomoana pamoja na mabadiliko ya investments kwenye real estate.
Angalia kawe na Morroco nayo yameachwa kama yalivyo.
Busara itumika projects ziishe na kupangishwa wananchi kwa kodi nafuu na kupelekea kuboresha suala la makazi bora.
Yakibaki kama yalivyo ni hasara kubwa sana pia yana reflect uwezo wetu wa kusolve issues tunazokutana nazo kama inchi.
Mkuu umenena sawasawa kabisa.
Sasa tupate mikakati ya serikali hii ya Awamu ya Sita kurekebisha haya madudu!
Kodi zetu hizo tujue!
 
Mradi wa Dege Eco Village chini ya NSSF umeshauzwa mwaka jana Sept kwa tshs 501 bil… sio wa serikali tena

Asante kwa taarifa mkuu.
Mradi umeizwa kwa nani?
Na hatua za uuendeleza ziko vipi.

Unaweza sema wewe halikuhusu , lakini mradi una occupy space and time ya wananchi!
Na nini matarajio?
 

Mradi huu ni wa serikali kwa kupitia Taasisi zake.

Aliyeufisadi hajulikani.

Na mwenye mradi hajulikani, lakini fedha zilizotumika ni za Watanzania.

Sikumbuki kama kuna mtu yeyote aliyechukuliwa hatua kwa kufeli mradi huu.

Bunge lipo na Spika wake, na mwenye mradi serikalini yupo.
Huu mradi umeshauzwa kwa kaburu mmoja kwa Dollar Million 540. Makabidhiano tu yanasubiriwa.
 
Nasikia mwendazake alijaribu kuuchunguza kila akiingiza pua anamuona mzee wa kutabsamu yupo nyuma yake, Basi mwendazake akaamua kuuacha kutia pesa na kudeal na issue zake ili kumkomoa mzee wa kufurahi na sio hayo majengo pekee hata yale ya moroco aligoma kutoa pesa , mbaya zaidi akahamisha makao kupeleka dom na matokeo yake miradi mingi imegeuka kuwa ni magofu au majengo mengine yamekosa wapangaji.
Upuuzi mnalishana vijiweni.
 
Mkuu umenena sawasawa kabisa.
Sasa tupate mikakati ya serikali hii ya Awamu ya Sita kurekebisha haya madudu!
Kodi zetu hizo tujue!
Ni kweli mkuu. Inner circle ya Mama inatakiwa ije na constructive ideas ya kukwamua hizo project badala ya lawama tu.
Bado kuna uhaba mkubwa wa makazi bora, projects kama hizo za Dege and the like zinatakiwa kuwa nyingi ili kujenga jamii yenye ustawi bora zaidi na kuchochea kukua kwa uchumi.
 
Brother Jidula, huu mradi haukufisadiwa, bali ni matokeo ya kukomoana pamoja na mabadiliko ya investments kwenye real estate.
Angalia kawe na Morroco nayo yameachwa kama yalivyo.
Busara itumika projects ziishe na kupangishwa wananchi kwa kodi nafuu na kupelekea kuboresha suala la makazi bora.
Yakibaki kama yalivyo ni hasara kubwa sana pia yana reflect uwezo wetu wa kusolve issues tunazokutana nazo kama inchi.
Samia amekwamua miradi yote ,hapo Morocco kazi zinaendelea.

Usifananishe Samia na waharibifu kina Jiwe 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C4vNC-iijcW/?igsh=N25pemxtYTE4OGR4
 
Back
Top Bottom