DCI Boaz vipi, Mbona amekimbia kesi ya Mbowe?

Na ushahidi wake wa yale aliyoyafanya akiwa kazini umestaafu pia? Hope you are joking, otherwise this is too low for you.
Hahahaaaa....... Wapi nimesema na ushahidi wake umestaafu.

Kuna baadhi ya kazi ukishastaafu hautatamani tena kuhusishwa kwa loote zaidi ya kutubu na kuokoka!
 
Umenena vyema. Hii kes iliibuliwa kumdhibit mbowe dhid ya vuguvugu la katiba mpya. Kweli wameshafanikiwa mno! Sisi tunahangaika na ugaid kumbe si mission yao. Namna ya kurud kwenye harakat ni lisu na lema warud, mbowe kama mfadhir arud uraian. Lakin muda si rafik tena.
Hatari sn
 
Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.
aliogopa kudhalilika, maana swali la kwanza angeulizwa tarehe ya kikao chake yeye na Urio kilikuwa ni tarehe ngapi? Mwenzake Urio alisema hakumbuki.

Kupanda kizimbani kwa kesi ya kubumba ndugu - Jipangee.
 
Kama Jaji akijifanya hamnazo na akaamua kuwa hawa watu wanne "WANA KESI YA KUJIBU"...

Basi, iwe isiwe, wote waliokwepa kuja kutoa ushahidi kuthibitisha makosa ya washitakiwa kama waleta mashitaka [Jamhuri], then wajiandae kuwa mashahidi wa upande wa utetezi....

That means, hawajakikwepa kizimba cha mahakama. Na hata chief Hangaya kupitia kwa AG wake ajiandae kuja kujibu maswali kizimbani....

Mpaka hapo, one can easily predict what would be maamuzi sahihi ya Jaji Tiganga siku ya Ijumaa tarehe 18/2/2022 yatakuwaje...

To cut it short, ni kuwa, THE GAME IS OVER....!!
jipeni matumaini but mbowe hachomoki round hii
 
Sijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
Kwa ushahidi upi mkuu
 
Leo upande wa mashtaka umefunga ghafla kesi ya ugaidi inayowahusu washtakiwa wanne akiwemo Freeman Mbowe.

Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.

Ikumbukwe huyu ndiye aliyepokea taarifa kutoka kwa Luteni Urio, juu ya kuwepo mipango ya ugaidi, na yeye aliye andaa mpango kazi wa awali wa kesi hii. Boaz alitakiwa kuja kuieleza mahakama ni kwa jinsi gani aliiona hii kesi ni ya ugaidi, alitakiwa kuunga mkono ushahidi wa Urio na kuthibitisha kwamba kweli Urio alifika ofisini kwake, maana hapo Kuna utata mkubwa, alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.

Hii haijatokea kwa bahati mbaya, pengine hii kesi ni mchongo hivyo kumleta DCI mahakamani na kudhalilishwa siku 3 mfululizo ni Kibatala itakuwa ni aibu kwa taifa, lakini majibu mazuri zaidi wanayo upande wa mashtaka.
Mshtaki kaingia mitini.. Sasa ushahidi una kamilikkaje?
 
Hii kesi ni bora tu Jamhuri wakakubali matokeo. Kiukweli wameshindwa vibaya! Maana kila anayekuja kutoa ushahidi, anaondoka akiwa hoi bin taaban!

Na yote hii ni kwa sababu ya ukosefu wa uhalisia wa mashtaka yenyewe!
Ni kwamba kila anayekuja kutoa ushahidi anaonekana ni BOMU kuliko yule aliyemtangulia.
 
Sijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi 😀😀😀😀 hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
Ni kweli watafungwa kama ni mipango ya Serikali iwe hivyo ila hawana hatia kulingana na mwenendo wa kesi. Ila jaji akiamua atawafunga tu nje ya hatia. Ila ujue ili mahakama ikufunge lazima iwe na hatia ya wazii nje ya wingi la mashaka kabisa ambapo kwa kesi hii mmmh hata haionekani kabisa.
 
Mpelelezi hajui hata maana ya Triangulation katika kuidentify estimated location of mobile phone/user .... maajabu ya wapelelezi wa mchongo na serikali inaona bado ni bora kuajiri form four failures.
Ndio maana wameamua kuajili form iv: maana wamwgundua hawa wanaoniita wasomi ni empty kabisa.
 
Back
Top Bottom