Ameishapewa maelekezo afute hiyo kesi!! Hiyo tarehe 18/2/22 ndio mwisho wake.Kama kweli Jaji atasimama kwenye haki hakuna kesi ya kujibu hata kidogo
Ameishapewa maelekezo afute hiyo kesi!! Hiyo tarehe 18/2/22 ndio mwisho wake.Kama kweli Jaji atasimama kwenye haki hakuna kesi ya kujibu hata kidogo
Ushahidi wenyewe uko wapi wa kumfunga Mbowe?Ameishapewa maelekezo afute hiyo kesi!! Hiyo tarehe 18/2/22 ndio mwisho wake.
Hahahaaaa....... Wapi nimesema na ushahidi wake umestaafu.Na ushahidi wake wa yale aliyoyafanya akiwa kazini umestaafu pia? Hope you are joking, otherwise this is too low for you.
Hatari snUmenena vyema. Hii kes iliibuliwa kumdhibit mbowe dhid ya vuguvugu la katiba mpya. Kweli wameshafanikiwa mno! Sisi tunahangaika na ugaid kumbe si mission yao. Namna ya kurud kwenye harakat ni lisu na lema warud, mbowe kama mfadhir arud uraian. Lakin muda si rafik tena.
Tena wewe unatakiwa ufungwe haraka snHahahaaaa....... Wapi nimesema na ushahidi wake umestaafu.
Kuna baadhi ya kazi ukishastaafu hautatamani tena kuhusishwa kwa loote zaidi ya kutubu na kuokoka!
Swilla amemsaidia sana Jaji kuitupilia mbali hii kitu ili watu waendelee na maisha yao ya kawaida!Kufungwa kwa kesi upande wa mashtaka ni fursa kwa Mbowe na wenzake kujitetea ili tuwasikie kisha tuone haki inatendeka
Ndio yeye.Kweni Kibatala ni mtoto wa Dr Kibatala aliyewahi kuwa St Francis Ifakara?
Naunga mkono hoja yako hii nzito.MaCCM akili zao hazina akili.
aliogopa kudhalilika, maana swali la kwanza angeulizwa tarehe ya kikao chake yeye na Urio kilikuwa ni tarehe ngapi? Mwenzake Urio alisema hakumbuki.Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.
jipeni matumaini but mbowe hachomoki round hiiKama Jaji akijifanya hamnazo na akaamua kuwa hawa watu wanne "WANA KESI YA KUJIBU"...
Basi, iwe isiwe, wote waliokwepa kuja kutoa ushahidi kuthibitisha makosa ya washitakiwa kama waleta mashitaka [Jamhuri], then wajiandae kuwa mashahidi wa upande wa utetezi....
That means, hawajakikwepa kizimba cha mahakama. Na hata chief Hangaya kupitia kwa AG wake ajiandae kuja kujibu maswali kizimbani....
Mpaka hapo, one can easily predict what would be maamuzi sahihi ya Jaji Tiganga siku ya Ijumaa tarehe 18/2/2022 yatakuwaje...
To cut it short, ni kuwa, THE GAME IS OVER....!!
duh!Hapa lazima aitwe Samia aje kujinu taarifa hizi alizipata wapi
Kwa ushahidi upi mkuuSijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
Mshtaki kaingia mitini.. Sasa ushahidi una kamilikkaje?Leo upande wa mashtaka umefunga ghafla kesi ya ugaidi inayowahusu washtakiwa wanne akiwemo Freeman Mbowe.
Katika hali ya kushangaza shahidi muhimu ambaye akitajwa karibu kila siku na mashahidi wa upande wa serikali DCI Boaz hajaitwa mahakamani kutoa ushahidi.
Ikumbukwe huyu ndiye aliyepokea taarifa kutoka kwa Luteni Urio, juu ya kuwepo mipango ya ugaidi, na yeye aliye andaa mpango kazi wa awali wa kesi hii. Boaz alitakiwa kuja kuieleza mahakama ni kwa jinsi gani aliiona hii kesi ni ya ugaidi, alitakiwa kuunga mkono ushahidi wa Urio na kuthibitisha kwamba kweli Urio alifika ofisini kwake, maana hapo Kuna utata mkubwa, alitakiwa kuieleza mahakama ni kwa Nini alikubali mpango wa kuharibia maisha makomandoo watatu ambao walikuwa na kazi zao, warubuniwe na Urio kwamba Kuna kazi ya ulinzi VIP kumbe wanatumbukizwa shimoni na kubambikiwa ugaidi, kifupi bila Boaz kutoa ushahidi muunganiko wa kesi nzima unakosekana.
Hii haijatokea kwa bahati mbaya, pengine hii kesi ni mchongo hivyo kumleta DCI mahakamani na kudhalilishwa siku 3 mfululizo ni Kibatala itakuwa ni aibu kwa taifa, lakini majibu mazuri zaidi wanayo upande wa mashtaka.
Ni kwamba kila anayekuja kutoa ushahidi anaonekana ni BOMU kuliko yule aliyemtangulia.Hii kesi ni bora tu Jamhuri wakakubali matokeo. Kiukweli wameshindwa vibaya! Maana kila anayekuja kutoa ushahidi, anaondoka akiwa hoi bin taaban!
Na yote hii ni kwa sababu ya ukosefu wa uhalisia wa mashtaka yenyewe!
Walishindwa kuwashika walau na njiti za viberiti .....!!Kesi ya ugaidi unaotajwa kupangwa kuwa na milipuko lakini silaha pekee iliyopo ni pistol yenye risasi 3 pekee...
Ni kweli watafungwa kama ni mipango ya Serikali iwe hivyo ila hawana hatia kulingana na mwenendo wa kesi. Ila jaji akiamua atawafunga tu nje ya hatia. Ila ujue ili mahakama ikufunge lazima iwe na hatia ya wazii nje ya wingi la mashaka kabisa ambapo kwa kesi hii mmmh hata haionekani kabisa.Sijui kwanini tunakubali kuhadaika kiurahisi hivi 😀😀😀😀 hiyo kesi haiwezi kuisha kiurahisi hivyo mark my words hawa watu watafungwa tu ingawaje ni ukweli mchungu ila watafungwa hii kesi imekaa vibaya hawawezi tumia gharama kubwa then wawaachie kiurahisi hivyo
Kwa walichomfanyia Sabaya unadhani akiletwa atasema nini? Just thinkingHii kesi sitaki iishe maana kwenye committal utetezi wanewaweka, Sirro,Sabaya, na AG, wasipofuta tunao hao
Ndio maana wameamua kuajili form iv: maana wamwgundua hawa wanaoniita wasomi ni empty kabisa.Mpelelezi hajui hata maana ya Triangulation katika kuidentify estimated location of mobile phone/user .... maajabu ya wapelelezi wa mchongo na serikali inaona bado ni bora kuajiri form four failures.