Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 420
so what????ha ha haaa!!! hata ROMA haikujengwa kwa siku moja, ngoja na sie tutengeneze MOU pale ikulu, kampasi na ma-vyuo mbona vitachipua kama uyoga??? hivi wewe kwa akili yako, umeona waislamu ni mambumbu kiasi hicho, ianwezekana hawana utitiri wa taasisi kama dini zingine, lakini haimaanishi kuwa ni mambumbu, au unasahau kuwa ndo waliokuwa mstari wa mbele hata kwenye kudai uhuru wa hii nchi??? p'se DO NOT UNDERESITMATE MUSLIMS, DO NOT, DO NOT DO NOT P'SE.
what happen after that?
usikariri mkuu kama wenzio na miaka 50 ya uhuru!!!!
think loud