Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,603
- 52,310
View attachment whitedent.bmp
Napenda leo tuchangia kuhusu hizi dawa za meno. Unapoinunua ipo ndani ya box, ukifungua box ndani kuna dawa ipo ndani ya tube, kizibo chake hakina seal, wala hakuna namna yeyote ya kumhakikishia mtumiaji kuwa yeye ndiyo mtu wa kwanza kuitumia, na zaidi sana hakuna namna yeyote ya kuhakikisha usalama wa mtumiaji kuwa dawa haijafunguliwa na kuongeza kitu chochote ambacho kinaweza kuleta madhara kwa mtumiaji, je ufungaji huu tuendelee kuukubali; nawakilisha wakuu.
Napenda leo tuchangia kuhusu hizi dawa za meno. Unapoinunua ipo ndani ya box, ukifungua box ndani kuna dawa ipo ndani ya tube, kizibo chake hakina seal, wala hakuna namna yeyote ya kumhakikishia mtumiaji kuwa yeye ndiyo mtu wa kwanza kuitumia, na zaidi sana hakuna namna yeyote ya kuhakikisha usalama wa mtumiaji kuwa dawa haijafunguliwa na kuongeza kitu chochote ambacho kinaweza kuleta madhara kwa mtumiaji, je ufungaji huu tuendelee kuukubali; nawakilisha wakuu.