Mmmmh kama ya mtoto vile, yaani sitaki hata kuimagine la zaidi jiamini tu na uwe mjanja kwenye 6x6. Mimi sioni tatizo ikiwa unapata haja ndogo kama kawaida, mengine ni ujanja wako na hiyo kitu.
kumbe kuna size? ndogo kabisa ni ipi? na kubwa kabisa ni ipi? mi huwa siangalii who cares?
kumbe kuna size? ndogo kabisa ni ipi? na kubwa kabisa ni ipi? mi huwa siangalii who cares?
sheeeeeeeeeeeeee....chanjiaa mdodokiii,unajichanjaa uume then unachanjaa dodokii unapaka utovuu wa dodoki kwenyee uume na damu kwenye dodoki,unaliacha likue jinsi linavyo kuwaa na mzigo ndo unavyo kuwaaa,angalizo wekaa alamaa hiloo dodoki linaweza kuwaa kubwaa sanaa au ukashindwa kulitambua baada ya miezi sitaaa.uka mshinda mandigo
mh hiyo signature yakowhat if hizo dawa utazotumia zitakupeleka magonjwa na ulemavu wa kiungo chako, au hata kukuletea kifo... hapo wewe ndio utaacha. Endelea kuogopa kuachwa
umemaliza mkuuHii ni hulka ya mtu mweusi kutaka vitu vikubwa hata kama hana sababu za msingi ya kuwa na hicho kitu.
Mswahili akiwa na uwezo atataka gari ya speed 360 hata kama hawez kuendesha kwa hata robo ya hiyo speed,
Atapenda kuwa na nyumba kubwa hata km hana ulazima wa kuwa na nyumba kubwa ivo.
Ni hulka nothing else!
Imenigusa hii! We are in the same boart man!!! Lakini mbona hawa jama wa jamii hamna hata wakutuokoa? Hau nawao wako kama sisi?? Jamani tusaidieni dawa zakulirefusha nakunenepesha angalau inchi 12 likisimama.