KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Habari za huakika nikwamba dawa za kutibia mtu aliyeng'atwa na mbwa hakuna nchini baada yakutoke mgonjwa kufariki juzi Mhimbili kutokana na kung'atwa na mbwa!Baada yakwenda MSD Nakuambiwa dawa hizo hatuna!!!Wakaenda kwenye Hospital zote za Dar nakuambulia patupu!
Na mgonjwa ni marehemu sasa!!!Be care take care!:frusty:
Na mgonjwa ni marehemu sasa!!!Be care take care!:frusty: