Dah jamani mwenye kujua hiyo dawa ya kupulizia na kuua mbu anisaidie maana hapa home ikifika jioni ni balaa tupu, nahitaji zile za kupulizia nje ya nyumba na ndani kwenye eneo kubwa mtambo ule wa kupulizia ninao sema dawa tu ndio sijui.
Maana mbu wa nyumba hii ukiamka hadi kwenye vyandarua vya kikwete unakuta wamepiga pozi afu hawafi.
Msaada jamani
Maana mbu wa nyumba hii ukiamka hadi kwenye vyandarua vya kikwete unakuta wamepiga pozi afu hawafi.
Msaada jamani