scot mcomic
JF-Expert Member
- Apr 17, 2021
- 225
- 369
Wakuu habarini za wakat huu Kwa mwenye ujuzi hiki ni kidonge gan hakina jina na kinatibu nn? Asanten
🤣🤣🤣🤣Mkeo anameza kwa siri sio 😁?
Bila shaka ni caps cephalexinWakuu habarini za wakat huu Kwa mwenye ujuzi hiki ni kidonge gan hakina jina na kinatibu nn? AsantenView attachment 2841223
Hapn mkuuMkeo anameza kwa siri sio ?
Acha kumtisha ndugu. Unaweza kumpa presha kubwa zaidi. Mjibuni kwa staha na utaalam. Hatujui anapitia nini kwa sasa.Mkeo anameza kwa siri sio ?
Ulikuta vingapi? Pakti, kopo au kimojaWakuu habarini za wakat huu Kwa mwenye ujuzi hiki ni kidonge gan hakina jina na kinatibu nn? AsantenView attachment 2841223
Umeenda Mbali Sana😁ngoja nimuoneshe Dr hapa
Jibuni chap chap bas😄Umeenda Mbali Sana
HahahKama alikuwa anameza mkeo hiyo ni dawa ya kideri.
Huwa nawapatia kuku wangu hapa Uyole Mbeya
nimeuliza!Acha kumtisha ndugu. Unaweza kumpa presha kubwa zaidi. Mjibuni kwa staha na utaalam. Hatujui anapitia nini kwa sasa.
Haviko kwenye pakti mkuuUlikuta vingapi? Pakti, kopo au kimoja