Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,281
Huyu Davis ni muhuni tu hakuna haja ya kumtetea, ni mvuta bangi tokea enzi anasoma naamini bado hajaacha, kama wako wanaokumbuka enzi za Namfua watatueleza
Mwenyewe alisema Tuli alimtukana Morogoro na akawa anamtafuta ili ampige,na bahati nzuri wakakutana Tanga,na ndo ikabidi alianzishe livalangati sasa kwanini wasimalizane bila hata kurusha ngumi! Tumekosa medali New Delhi,kumbe mabondia wazuri walibaki nyumbani.Acheni majungu..muulizeni mwenyewe kwanza siyo mnamhukumu kwa vile hayupo hapa aweze kujitetea..ebo!