Chilipamwao
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 523
- 128
Nafikiri ni busara kuungana na waliompongeza mleta mada na Silinde ni muhimu akayaona haya, Uongozi aw CDM taifa umsimamie kuona jimbo halitudi mikononi mwa CCM.
Embu mwacheni Silinde wa watu kabisa, hayo yote ni majungu tu, mimi nimekushusha ulivosema haendi jimboni? Muongo mkubwa! huyu kaka kwake dsm napajua na ni nadra kumkuta nyumbani coz anaishi zaidi Tunduma na Mbozi huko, Ukimuona ni 3 days anageuka shamba, sasa mtu afanyaje????
Visima achimbe na nini wkt sirikali haijatoa fungu? Atumie posho yake?
Na ukweli ni kwamba sehemu nyingi chadema walishinda uchaguzi si kwa sababu chadema wanapendwa au ni wazuri sana bali kwa sababu CCM imechokwa na wananchi wanataka mabadiliko.2015 wananchi watafanya hivyo hivyo,wakikuchukia,wanakupiga chini.Ni mbunge wangu huyu,ila kinachomsaidia ni kwamba wanatunduma ni maadui wakubwa wa ccm,hivyo wapo tayari kukitetea chadema kwa gharama yoyote bila kujali mapungufu ya mbunge wao.!
ni sawa kabisa,kama hawajibiki kwa nafasi yake lazima watu waseme,tusipende kulea uzembe.sio kuwa cdm ndo sababu ya kutowajibika.silinde ajibu tuhuma hizi na ajirekebishe.
junior member array
join date : 12th september 2012
posts : 1
rep power : 0
likes received0
likes given1
jamaa yangu post ya kwanza tu unamuua jamaa yako kwanini usimwambie? Kuna wabunge wangapi hawajatimiza ahadi zao hata rais na chama bado na muda bado nakushauri mtafute binafsi umuelezee kwani naona wenzako wameridhika na kazi zake
Junior Member Array
Join Date : 12th September 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given1
Jamaa yangu post ya kwanza tu unamuua jamaa yako kwanini usimwambie? kuna wabunge wangapi hawajatimiza ahadi zao hata Rais na Chama bado na muda bado nakushauri mtafute binafsi umuelezee kwani naona wenzako wameridhika na kazi zake
MAGAMBA @ WORK.! Big up Silinde!
hata mm nilisoma naye ila tatizo utoto unamsumbua ushabiki wa chuo kipindi kile si kuwa kwamba unaweza kaingia huko kawa limbukeni wa posho maana alikuwa hajawahi kupata pesa na kusafiri kaMa hivi sasa. nawaomba wanambozi mwacheni amalize kipindi lkn nanyinyi acheni kuchagua masikini hata banda hana mmeyaona sasa.
Silinde kaifanyia mambo makubwa Mbozi Magharibi yake, KACHIMBA NA ANAENDELEA KUCHIMBA VISIMA VINGI ZAIDI..