meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
taarifa kupitia gazeti moja zinasema mh.kafulila azuiwa kuhutubia huko kasulu pamoja na kuwa na kibali cha kuhutubia kupitia chama cha APPT maendeleo.
je atasaidia chama hiki kupata nguvu au atakuwa kajimaliza kisiasa?je APPT maendeleo kitakuwa chama kimbilio kwa wale wote walio kwenye msururu wa kufukuzwa kwenye vyama vyao?
je atasaidia chama hiki kupata nguvu au atakuwa kajimaliza kisiasa?je APPT maendeleo kitakuwa chama kimbilio kwa wale wote walio kwenye msururu wa kufukuzwa kwenye vyama vyao?