Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Wadau naomba kujua matokeo ya darasa la saba mwaka 2012 yatatoka lini? Maana tuliambiwa mwaka huu yatawahi kwasababu kazi ya usahihishaji ingefanywa na kompyuta! Naomba majibu wadau mnaofahamu hili.