Awamu ya 5 inakusanya kodi kwa bidii lakini ndiyo Awamu ambayo inaongoza kwa matumizi mabaya ya pesa za Umma kuliko awamu zote.
Pesa inayotumika kwenye kukandamiza Demokrasia, kuwakomoa kuwabambikia kesi kuwadhalilisha, kuwadhoofisha Wapinzani ni pesa nyingi sana ni pesa ambazo zingeweza kujenga Daraja toka Dsm mpaka Zanzibar, kujenga viwanda Hosptal vyuo zaidi na barabara kila wilaya, lakini Madalali wa Siasa wakiongozwa na Lipumba na Bashite.
Maliyamungu mshauri mkuu wa Mtukufu wanavuna mabilioni kupitia mladi wao huo ambao hauna mkaguzi mkuu wa serikali kwani pesa zao huchukua Hazina Moja kwa moja kwa Amri ya Mtukufu malaika wa chato.
Pesa inayotumika kwenye kukandamiza Demokrasia, kuwakomoa kuwabambikia kesi kuwadhalilisha, kuwadhoofisha Wapinzani ni pesa nyingi sana ni pesa ambazo zingeweza kujenga Daraja toka Dsm mpaka Zanzibar, kujenga viwanda Hosptal vyuo zaidi na barabara kila wilaya, lakini Madalali wa Siasa wakiongozwa na Lipumba na Bashite.
Maliyamungu mshauri mkuu wa Mtukufu wanavuna mabilioni kupitia mladi wao huo ambao hauna mkaguzi mkuu wa serikali kwani pesa zao huchukua Hazina Moja kwa moja kwa Amri ya Mtukufu malaika wa chato.