Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,116
- 37,664
Kwani viwanda vishajengwa vingapi?
Na jana tumezindua kingine Mwanza!
Kwani viwanda vishajengwa vingapi?
Sawa kabisaNa jana tumezindua kingine Mwanza!
Viwanda vya Mtukufu malaika wa chato na msaidizi wake Maliyamungu Bashite ni kuwabambikia Wapinzani kesi.Kwani viwanda vishajengwa vingapi?
Viwanda vyenu ni kuwakomoa Wapinzani tuNa jana tumezindua kingine Mwanza!
Eeeeeee????Shekhe mponda kasema tusiogope kuikemea hii serikali ya awamu ya 5 hata kwa upanga.
Swissme
Ndio hivyo uchawi wake haujamsaidia.Zito huyu wa Act.wazalendoa au yule wa kigoma ujiji?
Polisiccm mpaka kufika 2020 watakuwa wamewabambikia kesi za kutosha maana sasa hawafanyi kazi kwa mjibu wa sheria bali hufanya kazi kwa Mjibu wa zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM malaika toka chato.Policcm kazini
Uchawi upi? Kama ni Uchawi anao Boss wako Maliyamungu Bashite asiye na vyeti bado kabakia kuwa mshauri mkuu wa Mtukufu toka chato.Ndio hivyo uchawi wake haujamsaidia.
Hakuna cha nyumba yake kugeuka bwawa wala jiwe.
Acha idara ya upelelezi ifanye kazi kwa welediHivi wale wa jaribio la kuua Lissu wamepatikana au uchunguzi unaendelea hasa kutoka kwa dereva?