Tray za Unga? 😂... inspirational speakers! Eti nilianza na mtaji wa tray 5!
Mkuu kwani mwaka gani ngada ilihadimika?Sembe imerudi kwa kasi...sababu hata wale jamaa wamesharudi tena kwenye mfumo
haelewi mambo alizoeatv za akina makonda zakuwatajaakinaT.I.DMkuu kwani mwaka gani ngada ilihadimika?
Sembe ipo miaka yote brooSembe imerudi kwa kasi...sababu hata wale jamaa wamesharudi tena kwenye mfumo
Kweli ila huwa inapungua pia kulingana na utawala! Tusidanganyane hapa!Sembe ipo miaka yote broo