Mchaga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,378
- 204
hii thread umeanzisha wewe mkuu sasa tupe na wengine fursa ya kuchangia mazuri na mabaya na wala usiweke vitisho maana haisaidii, au tukuachie wewe uchangie TU!be caferul of what you wish for au ndio unataka kuprovoke watu wamweke wazi huyu ZADOCK kisha uje kulalama kuwa ohhh mmekuwa personal..?
hiyo ya pesa za TIB mbona hujaligusa?