Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
This is another business opportunity kwa wajasirimali kama mimi, nanunua kaboti kangu kawe kanapiga Mwenge-Posta!!!
heshima mbele. Hii sidhani kama ni kazi ya Kandoro, nafikiri hili ni jukumu la Meya kama sikosei.Tatizo kila mtu anasubiri mheshimiwa atoe maagizo. Zile semina za Ngurdoto hazijasaidia kabisa.
heshima mbele. Hii sidhani kama ni kazi ya Kandoro, nafikiri hili ni jukumu la Meya kama sikosei.Tatizo kila mtu anasubiri mheshimiwa atoe maagizo. Zile semina za Ngurdoto hazijasaidia kabisa.
wkuu, unajua kuna mvua imenyesha leo hapa mjini kwa kweli sio utani, imeonyesha jinsi gani tuna matatizo mengi zaidi ya hata tunavyojifikiria..... Wenzetu wakifikiria kujenga "space shuttles" etc sisi inabidi turudi darasani na kujaribu kujenga mitaro ya maji ya mvua, storm water systems. Kwa kweli pamoja na kwamba inatia aibu, ni hatari sana na hasara ni nyingi kutokana na mvua hapa kwetu... Imagine that is Dar es Salaam, je Lindi na mikoa mingine?
mpaka wafikirie suala la mitaro.. wenzio wanafikiria "barabara za lami", majengo marefu yenye vioo vinavyomeremeta, madish ya setalaiti n.k Likija suala la mitaro ni usumbufu mkubwa wa wananchi, linahitaji utalaamu na usimamizi wa karibu na linaweza kuchukua muda mrefu.
So, kwa sababu maji ya mvua pia yanakauka haraka hakuna sababu ya kujenga mitaro.
.........Mkuu Mwanakijiji.......kwi kwi kwi kwi..........pamoja na kwamba point hiyo hapo ni kweli....lakini nimepata majibu meengi zaidi na kunifanya nicheke sana
Mkuu Morani75,
hili tatizo tumeshalizungumzia sana hapa na solution zilitolewa............tusichoke kuwakumbushia......