Kulikuwa hakuna umeme?"Mateja wamewasha mshumaa"
Hayo ni majibu ya report ya tukio lile la mwanzo.Kulikuwa hakuna umeme?
Uvumilivu hauwezi kuisha muulize Jenerali UlimwenguVijana wanjinyima wanapata rizki bado wanachomewa moto mitaji yao, mnataka wawe majambazi?
Wana familia, wana watoto, wana ndugu na jamaa wanawategemea.
Hii nchi ipo siku vijana uvumilivu utawaisha.
Soko la mabegi si ndio hapohapo wanauza viatu, na nguo nyingine mbona umeleta habari ya soko lamabegi tu RIROMajira ya muda wa saa 11 alfajiri ya leo ,moto umewaka na kuteketeza soko la wamachinga wauza mabegi karume.
Matukio ya picha
View attachment 2179975
Moto bado unaendelea kuwaka huku vikosi vya zimamoto na uokoaji vikiendelea na harakati ya kuuzima
View attachment 2179976
Obviously baada ya matukio ya kwanza ilibidi wafanye angalau kampeni kwa masoko yote kukagua vifaa vya kuzimia moto kama havipo wasupply.Kwanza soko hilo lilikuwa na vifaa vya kuzimia moto? Hili jeshi si linatakiwa kufanya ukaguzi huo?
Tunaishi Kwa ujinga zaidi ya Walioishi Karne ya 17!? Masoko yaliungua sana miezi michache iliyopita!! Viongozi hawakuona umuhimu WA kuweka siasa pembeni na kufanyia vitu vya kushirikisha wataalamu!! Hawa OSHA wapo Kwa ajili ya kuuza fire extinguisher mtaani kujipatoa Hela na Sio kuelimisha usalama kazini, kwenye masoko!! My GodMipango miji hovyo sana kuna nyumba zinaweza waka mtaa mzima na kuuzima ikashindikana
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo hapa anahusikaje?Mama anaupiga mwingi.