A
Anonymous
Guest
Kero yangu kubwa ambayo naomba jamii itambue ni kuwa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ni kwamba Soko la Karume tunachanga michango mingi kama pesa ya usafi na ulinzi lakini hutujawahi ona mapato na matumizi ya pesa zetu zinaendaje.
Naomba kufikisha ujumbe huu kwa Serikali Kuu kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa sisi kama Wadau wa Soko la Karume tunaona kuna mianya ya rushwa sana tu.
Hatuna sehemu ya kulalamika, tunaamini ujumbe huu kupitia JF utawafikia watu wengi na mamlaka zitachukua hatua kushughulikia malalamiko yetu, tunaoteseka ni sisi.
Naomba kufikisha ujumbe huu kwa Serikali Kuu kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa sisi kama Wadau wa Soko la Karume tunaona kuna mianya ya rushwa sana tu.
Hatuna sehemu ya kulalamika, tunaamini ujumbe huu kupitia JF utawafikia watu wengi na mamlaka zitachukua hatua kushughulikia malalamiko yetu, tunaoteseka ni sisi.