Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
- Thread starter
- #881
Mkuu..Wanastahili hongera kwakweli kwa uishinda Tukuyu Stars si kazi rahisi na hatimaye kufuzu hatua ya makundi klabu bingwa.Hahaha.. Soon nitarejea Mtani. Ila kwanza hongereni kwa ushindi mzito dhidi ya 'timu ngumu' ya Tukuyu Stars.