BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemkuta na hatia ya Matumizi Mabaya ya Madaraka pamoja na Kughushi Nyaraka, mtumishi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliyetambulishwa kwa majina ya Melchiory Rutayuga Mukandala.
Keshi hiyo iliyowasiliswa na Jamhuri kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKURU) imetaja makosa ya mtuhumiwa kuwa ni kinyume na Kanuni ya Adhabu na Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329.
Mahakama imemhukumu Mtumishi huyo adhabu ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 1 kwa kila kosa au kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani kwa kila kosa na adhabu zote zinaenda kwa pamoja.
Keshi hiyo iliyowasiliswa na Jamhuri kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKURU) imetaja makosa ya mtuhumiwa kuwa ni kinyume na Kanuni ya Adhabu na Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 329.
Mahakama imemhukumu Mtumishi huyo adhabu ya kulipa faini ya Tsh. Milioni 1 kwa kila kosa au kutumikia kifungo cha miaka miwili gerezani kwa kila kosa na adhabu zote zinaenda kwa pamoja.