hiyo radio ya uchochezi ikajifunze kwa radio zilizofanikiwa za dini nyingine kama wapo radio nk sio kufundisha chuki kwa wengine huwezi kuta iyo radio inalaani shughuli za uchawi uganga wa kienyezi wao ni kulaani ukristo mara mfumo kristo wakati ndugu zao ndo wanaongoza nchi.utazani wametumwa kuchochea uvunjifu wa amani