Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,896
Mwanahabari, Mwandishi na Mwenyekiti wa Bodi ya Gazeti la Raia Mwema Jenerali Ulimwengu amepata ajali Dar es Salaam asubuhi mapema leo.
Yupo hospitali ya Muhimbili kitengo cha mifupa Moi kwa matibabu.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
Mwanahabari Huru
Yupo hospitali ya Muhimbili kitengo cha mifupa Moi kwa matibabu.
Tutaendelea kuwaletea taarifa.
Mwanahabari Huru