Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
1. Kuna familia baba, mama , na watoto wanalala chumba kimoja na hao watoto ni wakubwa miaka hata 10, sasa sijui huwa wanaenda guesthouse.
2. Wengine watoto wa kiume na wakike wanalala kitanda kimoja, wasichana waliobarehe kabisa na wavulana wenye base kama gitaa la base la kofiolomide.
3. Kisa na mkasa: Kuna kijana alikuwa anajipendelea porn usiku sebuleni ppeke yake wakati wengine wameenda kulala, taa zote kazima. Bahati mbaya dada mtu katoka, naye kajifanya kama anaona filamu ya kanumba. Mambo yalipo kolea walijshangaa wamesha jivua nguo na waemsha ...........
Wazazi kazi mnayo.
2. Wengine watoto wa kiume na wakike wanalala kitanda kimoja, wasichana waliobarehe kabisa na wavulana wenye base kama gitaa la base la kofiolomide.
3. Kisa na mkasa: Kuna kijana alikuwa anajipendelea porn usiku sebuleni ppeke yake wakati wengine wameenda kulala, taa zote kazima. Bahati mbaya dada mtu katoka, naye kajifanya kama anaona filamu ya kanumba. Mambo yalipo kolea walijshangaa wamesha jivua nguo na waemsha ...........
Wazazi kazi mnayo.