Jodari
Senior Member
- Mar 2, 2013
- 120
- 16
Nimeshuhudia Madr. Wengi sasa elimu yao wanaiweka upande na kuingia kwenye bishara hii ya kufanyia uperation wajawazito, operation huwa inafanyika kwa malipo makubwa kiasi cha laki6 kila mgonjwa. Ivi tuseme hawa maDr wameshindwa kabisa kutoa tiba na sasa wameamua kufanya biashara? Niliwahi kumpeleka mke wangu alikua mjamzito pale mikumi na nikaambiwa mtoto ameelekeza miguu chini kwaiyo akiwa tayari kujifungua afanyiwe operation ikaishia hapo hakuna tiba yoyote aliyopatiwa. Nilisafiri nikaenda dubai nikafika duka la dawa la kawaida nilipatiwa dawa zinaitwa folic acid na niliambiwa hizo zitamuweka sawa kila kitu mama na mtoto wake. Hii nchi ni ya ajabu sana ivi watu hawa wanaoitwa madr kukosa uzalendo na kazi zao inakuwaje? Akatumia hizi dawa kwa miezi 3 afya yake ikaimarika na akajifungua mtoto ana kilo4.3 kwa nji ya kawaida bila ya matatizo tunamshukuru mungu. Serikali tunaiyomba iwe inazianglia biashara hizi haramu pia.