Dar es Salaam ni mji wa kawaida ila unakuzwa sana

Hata ipite miaka 50 hakuna mkoa wa kuja kuipita Dar Es Salaam

Wabunge wenu wote wana nyumba hapa
Kwani Kuna mtu amesema Kuna Mkoa utaipita Dar.

Ila ukweli utasalia kwamba Dar is Big Slum na Kwa taarifa Yako tuu shobo za watu kuhamia Dar hazipo tena ,ilikuwa Zamani wakati mikoani hakuna Miundombinu na Huduma ila Kwa Sasa the story is telling something opposite.
 
Kama haijawah kufika Dar brain inatengeneza image kwamba Dar ni bonge la mji kumbe sio

Binafsi before sijafika Dar nilidhani Dar nzima inafanana na Posta, Kariakoo au Makumbusho yana watu wanaishi kwenye apartments kali mixer nyumba za maana.

Kumbe Dar imejaa vibanda vya mpesa, vijiwe vya madalali, n'a vijana wavaa vibukta

Kuna haja ya serikali kutoa wito watu wasikimbilie Dar wabaki mikoani wachape kazi na majobless konk wa Dar wapelekwe /waradishwe mikoani wakalime au kuvua samaki.

Vijana wa Dar 28yrs anawaza kibukta, pensi, sendo na chips wote hawa wanatakiwa wapelekwe vijijini wakalime.
Duh!, Mkuu naona vijana wa Dar wanakuumiza sasa uwaonapo wametinga kwenye vibukta, pensi na sandals wakitafuna chips:D:D
 
Dar ni likijiji likubwa
Utakitaka uijue dsm ingia karakoram Upottee kwanza urudi hapa tongee.


Kiukweli kama si majukumu ningetoka dsm nikaishi mji mwingine na maisha yaendelee

Dsm sio ishu ya kuwa jiji dsm Inakera sana.

Kurushiwa maji machado, yaani mji huwez hata ukatoka ukafanya evening walk.

Huwez ukatoka uende kwenye busting ukakae usome.kitabu.

Mji kelele.
Uchawi
Wizi
Ubakaji
Uchangudoa
Foleni
 
Back
Top Bottom