Miti7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 991
- 1,800
Ubungo interchange hujaiona?Sasa Dar Kwa Lilongwe si kama dampo kubwa tuu kwani Kuna miundombinu ya Barabara kulinganisha na Lilongwe?
Dar hakuna interchange Kuna upuuzi
Mimi nimeishi Ulaya lakini siwezi kuidharau Dar Es Salaam