Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Ramadhan karim JF.
Ndugu zangu ukitaka kufahamu viongozi vibuyu katika serikali za mitaa basi fika halmashauri ya wilaya ya ngorongoro hasa idara ya kilimo/mifugo. Huko utakutana na mama mmoja anayeitwa Maria Leshalu aliyepata cheo cha ukuu wa idara ya kilimo/mifugo kupitia kivuli cha Edward Lowasa ijapokuwa hana sifa hizo sifa. Mkuu huyo amekuwa akiendeshwa na kutolewa maamuz na subordinate wake VB KAIZA ambaye anasifika kwa ufisadi idarani hapo.
Mama huyu ambaye ametengeneza makundi na chuki miongoni mwa watumishi ndani ya idara hili kuficha udhaifu wake wa kutowajibika. Inasemekana mama huyu analindwa na kigogo Mmoja pale TAMISEMI ambapo inapelekea hata DED ashindwe kumchukulia hatua.
Nisaidieni jamani niende wapi nikamshtaki?
Ndugu zangu ukitaka kufahamu viongozi vibuyu katika serikali za mitaa basi fika halmashauri ya wilaya ya ngorongoro hasa idara ya kilimo/mifugo. Huko utakutana na mama mmoja anayeitwa Maria Leshalu aliyepata cheo cha ukuu wa idara ya kilimo/mifugo kupitia kivuli cha Edward Lowasa ijapokuwa hana sifa hizo sifa. Mkuu huyo amekuwa akiendeshwa na kutolewa maamuz na subordinate wake VB KAIZA ambaye anasifika kwa ufisadi idarani hapo.
Mama huyu ambaye ametengeneza makundi na chuki miongoni mwa watumishi ndani ya idara hili kuficha udhaifu wake wa kutowajibika. Inasemekana mama huyu analindwa na kigogo Mmoja pale TAMISEMI ambapo inapelekea hata DED ashindwe kumchukulia hatua.
Nisaidieni jamani niende wapi nikamshtaki?