Rugas
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 1,048
- 196
Yale yale!Kwa kuwa we umenyimwa gawio la huo ufisadi,ndo unaanza kutoa siri! Anyway km una uchungu na nchi hii andika barua ya siri,tuma kwa RAS-ARUSHA,na kwa katibu mkuu tamisemi,wape kopy mkurugenzi na mbunge wako.barua iwe na facts na si longo longo unazozisema hapa!hapo yupo mmojawapo ata act !ikishindikana tafuta namna na wewe ufaidike na ufisadi huo!