Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 846
- 432
- Thread starter
- #21
nimecheka mpaka basi...
sasa watu hao,wapo pia maofisini...
unakuta haupo kwenye mood ya story,mtu huyo....hanyamazi...
tehteheh.........afu watu wa hivyo wanapenda uwasikiilize..........akiona haumsikilizi anakutaja jina, et...fulani au kukurefer kila mara