Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 908
- 1,064
Ukiona mtu anasifia kuajiriwa mchunguze sana, wengi wapigaji! Ona mfano mdogo; mwalimu hana posho au marupurupu ndo maana kila siku analalamika. Mapolisi nao, hivyo hivyo.
Kuna mambo mengi sana kwenye ajira, ukiona mtu anasema anapata milioni 5 mshahara matumizi yake bei gani kwa siku? Na amewekeza wapi?
Mshahara pekee hauwezi kuendesha maisha yako ya kila siku. Iko hivyo.
Waajiriwa wanapiga madili yao.
Kuna mambo mengi sana kwenye ajira, ukiona mtu anasema anapata milioni 5 mshahara matumizi yake bei gani kwa siku? Na amewekeza wapi?
Mshahara pekee hauwezi kuendesha maisha yako ya kila siku. Iko hivyo.
Waajiriwa wanapiga madili yao.