Dakika 45 ITV: Malecela amesema mpaka wa ziwa nyasa upande wa Tanzania uliwekwa na magavana

tenende

JF-Expert Member
Jan 10, 2012
6,511
500
Mzee John Malecela inavyoelekea hajui mkataba wa 1890 kati ya waingereza na wajerumani. Amesema awali mkataba ulikuwa katikati ya Ziwa. Baadaye mpaka ulihamishiwa upande wa Tanzania na magavana wa kikoloni. Kimsingi hoja nyingine yuko sahihi.
 
Mzee John Malecela inavyoelekea hajui mkataba wa 1890 kati ya waingereza na wajerumani. Amesema awali mkataba ulikuwa katikati ya Ziwa. Baadaye mpaka ulihamishiwa upande wa Tanzania na magavana wa kikoloni. Kimsingi hoja nyingine yuko sahihi.

Hakuongelea kwanini alilikubali AZIMIO LA ZANZIBAR ?

Sababu tunataka kujua benefit's zake ni zipi? Au ndio tumedondoka kabisa?
 
Kuna ramani za mpaka nje ya ziwa zilikuwa zinawekwa hadi maofisini kwa viongozi.
 
Hakuongelea kwanini alilikubali AZIMIO LA ZANZIBAR ? Sababu tunataka kujua benefit's zake ni zipi? Au ndio tumedondoka kabisa?
Suala hili hawezi kuzungumzia mpaka aulizwe. Wiki ijayo ataendelea lakini sidhani kama Semunyu ameona umuhimu wake!
 
Back
Top Bottom