Dah...Hujafa, hujaumbika...

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
248739_153515444717588_100001774001745_299445_6592796_n.jpg
 
duhhhh
usifanye hivyo kabisa dear nakuomba ..
Zile balaaa buluu.. unajisikiaje leo?

Ha ha haaaaaaaaaaaaaa, mi nilijua utaniruhus nizizweke,maana naona watu wana masikhara.....!

Niko pouwa dear, namshukuru Mungu siku inaishia vizuri....!
 
Ha ha haaaaaaaaaaaaaa, mi nilijua utaniruhus nizizweke,maana naona watu wana masikhara.....!

Niko pouwa dear, namshukuru Mungu siku inaishia vizuri....!


mmhh ipo siku tutaziweka ntakupa ruhusa..
We si unaona zilivyoleta balaa kule Uso Kitabu ndo uweke hapa JF mwehh..

Hongera kwa kumaliza siku fresh .. I was a bit worried about you dear...
 
mmhh ipo siku tutaziweka ntakupa ruhusa..
We si unaona zilivyoleta balaa kule Uso Kitabu ndo uweke hapa JF mwehh..

Hongera kwa kumaliza siku fresh .. I was a bit worried about you dear...

Am a strong girl my dear, i can handle this,don't worry.....!

Haya siku ukiniruhusu nitaziweka...huo usumbufu utaubeba mwenyewe....unaweza ukawa blocked..lol
 
Am a strong girl my dear, i can handle this,don't worry.....!

Haya siku ukiniruhusu nitaziweka...huo usumbufu utaubeba mwenyewe....unaweza ukawa blocked..lol

I'm glad to hear that...

we si unajua zangu , usumbufu napotea mitini.. ile miezi mitatu nliokwambia
ntaifanyia kazi siku ukiweka.. Nikirudi mwaka mpya na mambo mapya.
 
I'm glad to hear that...

we si unajua zangu , usumbufu napotea mitini.. ile miezi mitatu nliokwambia
ntaifanyia kazi siku ukiweka.. Nikirudi mwaka mpya na mambo mapya.

Dah,kuliko nikukose miezi mitatu bora nisiweke hizo picha....yameisha dear....lol
 
Back
Top Bottom