Mkanda mzuri ....
Got ass like that?
a bit bigger ..
Ungeniruhusu ningeweka picha za siku ile...lol
duhhhh
usifanye hivyo kabisa dear nakuomba ..
Zile balaaa buluu.. unajisikiaje leo?
Ha ha haaaaaaaaaaaaaa, mi nilijua utaniruhus nizizweke,maana naona watu wana masikhara.....!
Niko pouwa dear, namshukuru Mungu siku inaishia vizuri....!
mmhh ipo siku tutaziweka ntakupa ruhusa..
We si unaona zilivyoleta balaa kule Uso Kitabu ndo uweke hapa JF mwehh..
Hongera kwa kumaliza siku fresh .. I was a bit worried about you dear...
Am a strong girl my dear, i can handle this,don't worry.....!
Haya siku ukiniruhusu nitaziweka...huo usumbufu utaubeba mwenyewe....unaweza ukawa blocked..lol
I'm glad to hear that...
we si unajua zangu , usumbufu napotea mitini.. ile miezi mitatu nliokwambia
ntaifanyia kazi siku ukiweka.. Nikirudi mwaka mpya na mambo mapya.
umesisimuliwa nn ndugu?Ngoshwe bana ndo mambo gani sasa hayo? Arrgghhhhh:tongue:
Mimi naona kama vile jeans imevaliwa kwenye kitambi