mudushi
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 151
- 84
Huyu dada ilipoimba wimbo wa Mr Politician nilijua sauti za waimbaji wetu sasa ni chachu ya ukombozi, akapokea kadi ya CHADEMA, kama mwanachama, mara akaja akairudisha kwa JK akiwa Arusha ati mwana mpotevu amerudi nyumbani.....sasa amepotea kabisa na hasikiki tena, leo nimekutana na hii picha yake nikakumbuka yaliyopita....
http://2.bp.blogspot.com/-B-pYNDBoESU/T6RhW7Vpa_I/AAAAAAAAS7c/CrymtlzpLCE/s1600/IMG_0864.JPG
mara moja moja huwa namwona kwenye kabaa kake hapa tengeru. ila kafulia mpaka basi.