Daaah..Polisi nyie muwe na huruma kidogo,hali ngumu jamani.

Nov 6, 2012
48
23
Habarini waungwana,
Jana Jmos mie pamoja na Family yangu tulikwenda shambani ni katika kuitumia likizo yangu nikaona ni vema nikasaidie kazi za Shamba kidogo..na pana umbali wa kama km 72 toka nyumbani mpaka Shambani tulikwenda kuvuna mbaazi,kutokana na umbali huo na Shamba lipo polini ilitulazimu kuvuna na kuzibeba mpaka nyumbani sasa wakati tunarudi mishale ya saa 4 au 5 kasoro hivi tulikutana na polisi wa dolia wakanisimamisha wakaniomba kadi ya Gari nikawapa,leseni,nikawapa,Gari vibali vyote viko Sawa ila kama unavyojua wenzetu Hawa hawaishiwagi ngonjera... Wakaanza ooh kwann ninasafirisha mazao usiku,nikawauliza mashamba yanakuwaga mjini? Na nisingeweza kulala Shambani na familia kwasababu ni polini,pia Nina usafiri binafsi na muda haukuwa mbaya sana wa kunifanya nisirudi nyumbani,na istoshe siyo mazao ya biashara natoka kuvuna ...Mara oooh peleka Gari kituoni,Mara ooh huyo in baba yako kweli? Siyo baba yako sasa makosa mengine mapya kwa kweli..
Ila mwisho wa siku una tsh ngapi? Nkajiuliza kwa kosa lipi la mie kuvuna? Au la kutokulala Shambani? Baada ya kamzozo ka muda mrefu na nilikuwa na wanangu ndani ya Gari watu wamechoka kwa kazi za kutwa nzima nikaona isiwe Shida chukueni hii Elfu kumi tsh.10,000/= ingawa niliitoa huku roho inauma maana usawa huu daaah sijui siye wakulima twende wapi...JAMANI POLISI KUWENI NA KAUBINADAMU KIDOGO mmefanya Leo wanangu wanapigwa miayo tu kale ka 10,000/= ndiko kaliko kuwa mfukoni mpaka niuze mbaazi lini sasa...mjue Mungu anawaona jamani...daaah.
 
Habarini waungwana,
Jana Jmos mie pamoja na Family yangu tulikwenda shambani ni katika kuitumia likizo yangu nikaona ni vema nikasaidie kazi za Shamba kidogo..na pana umbali wa kama km 72 toka nyumbani mpaka Shambani tulikwenda kuvuna mbaazi,kutokana na umbali huo na Shamba lipo polini ilitulazimu kuvuna na kuzibeba mpaka nyumbani sasa wakati tunarudi mishale ya saa 4 au 5 kasoro hivi tulikutana na polisi wa dolia wakanisimamisha wakaniomba kadi ya Gari nikawapa,leseni,nikawapa,Gari vibali vyote viko Sawa ila kama unavyojua wenzetu Hawa hawaishiwagi ngonjera... Wakaanza ooh kwann ninasafirisha mazao usiku,nikawauliza mashamba yanakuwaga mjini? Na nisingeweza kulala Shambani na familia kwasababu ni polini,pia Nina usafiri binafsi na muda haukuwa mbaya sana wa kunifanya nisirudi nyumbani,na istoshe siyo mazao ya biashara natoka kuvuna ...Mara oooh peleka Gari kituoni,Mara ooh huyo in baba yako kweli? Siyo baba yako sasa makosa mengine mapya kwa kweli..
Ila mwisho wa siku una tsh ngapi? Nkajiuliza kwa kosa lipi la mie kuvuna? Au la kutokulala Shambani? Baada ya kamzozo ka muda mrefu na nilikuwa na wanangu ndani ya Gari watu wamechoka kwa kazi za kutwa nzima nikaona isiwe Shida chukueni hii Elfu kumi tsh.10,000/= ingawa niliitoa huku roho inauma maana usawa huu daaah sijui siye wakulima twende wapi...JAMANI POLISI KUWENI NA KAUBINADAMU KIDOGO mmefanya Leo wanangu wanapigwa miayo tu kale ka 10,000/= ndiko kaliko kuwa mfukoni mpaka niuze mbaazi lini sasa...mjue Mungu anawaona jamani...daaah.
Pole sana ndugu ! Ni aheri ukutane na jambazi sugu usiku ukaliomba msamaha likakuachia kulilo polis wetu maana wana njaa kama kunguni !!
 
Habarini waungwana,
Jana Jmos mie pamoja na Family yangu tulikwenda shambani ni katika kuitumia likizo yangu nikaona ni vema nikasaidie kazi za Shamba kidogo..na pana umbali wa kama km 72 toka nyumbani mpaka Shambani tulikwenda kuvuna mbaazi,kutokana na umbali huo na Shamba lipo polini ilitulazimu kuvuna na kuzibeba mpaka nyumbani sasa wakati tunarudi mishale ya saa 4 au 5 kasoro hivi tulikutana na polisi wa dolia wakanisimamisha wakaniomba kadi ya Gari nikawapa,leseni,nikawapa,Gari vibali vyote viko Sawa ila kama unavyojua wenzetu Hawa hawaishiwagi ngonjera... Wakaanza ooh kwann ninasafirisha mazao usiku,nikawauliza mashamba yanakuwaga mjini? Na nisingeweza kulala Shambani na familia kwasababu ni polini,pia Nina usafiri binafsi na muda haukuwa mbaya sana wa kunifanya nisirudi nyumbani,na istoshe siyo mazao ya biashara natoka kuvuna ...Mara oooh peleka Gari kituoni,Mara ooh huyo in baba yako kweli? Siyo baba yako sasa makosa mengine mapya kwa kweli..
Ila mwisho wa siku una tsh ngapi? Nkajiuliza kwa kosa lipi la mie kuvuna? Au la kutokulala Shambani? Baada ya kamzozo ka muda mrefu na nilikuwa na wanangu ndani ya Gari watu wamechoka kwa kazi za kutwa nzima nikaona isiwe Shida chukueni hii Elfu kumi tsh.10,000/= ingawa niliitoa huku roho inauma maana usawa huu daaah sijui siye wakulima twende wapi...JAMANI POLISI KUWENI NA KAUBINADAMU KIDOGO mmefanya Leo wanangu wanapigwa miayo tu kale ka 10,000/= ndiko kaliko kuwa mfukoni mpaka niuze mbaazi lini sasa...mjue Mungu anawaona jamani...daaah.
Pole sana. Ungekubali kwenda kituoni tu. Kwa nini ulipaogopa?
 
Hawa jamaaa wangekua na vibubu wangekua wanaongoza kwa mijengo,magari mazuri,hata kumiliki biashara mbaimbali nk manake izo buku 5 na 10,wenyewe wanasema hela ya kung'arisha buti!!
 
Walishalaaniwa hawa wakikudaka hata kama gari ina kila kitu watatafuta tu sababu ya kukutoa upepo mfukoni
 
Habarini waungwana,
Jana Jmos mie pamoja na Family yangu tulikwenda shambani ni katika kuitumia likizo yangu nikaona ni vema nikasaidie kazi za Shamba kidogo..na pana umbali wa kama km 72 toka nyumbani mpaka Shambani tulikwenda kuvuna mbaazi,kutokana na umbali huo na Shamba lipo polini ilitulazimu kuvuna na kuzibeba mpaka nyumbani sasa wakati tunarudi mishale ya saa 4 au 5 kasoro hivi tulikutana na polisi wa dolia wakanisimamisha wakaniomba kadi ya Gari nikawapa,leseni,nikawapa,Gari vibali vyote viko Sawa ila kama unavyojua wenzetu Hawa hawaishiwagi ngonjera... Wakaanza ooh kwann ninasafirisha mazao usiku,nikawauliza mashamba yanakuwaga mjini? Na nisingeweza kulala Shambani na familia kwasababu ni polini,pia Nina usafiri binafsi na muda haukuwa mbaya sana wa kunifanya nisirudi nyumbani,na istoshe siyo mazao ya biashara natoka kuvuna ...Mara oooh peleka Gari kituoni,Mara ooh huyo in baba yako kweli? Siyo baba yako sasa makosa mengine mapya kwa kweli..
Ila mwisho wa siku una tsh ngapi? Nkajiuliza kwa kosa lipi la mie kuvuna? Au la kutokulala Shambani? Baada ya kamzozo ka muda mrefu na nilikuwa na wanangu ndani ya Gari watu wamechoka kwa kazi za kutwa nzima nikaona isiwe Shida chukueni hii Elfu kumi tsh.10,000/= ingawa niliitoa huku roho inauma maana usawa huu daaah sijui siye wakulima twende wapi...JAMANI POLISI KUWENI NA KAUBINADAMU KIDOGO mmefanya Leo wanangu wanapigwa miayo tu kale ka 10,000/= ndiko kaliko kuwa mfukoni mpaka niuze mbaazi lini sasa...mjue Mungu anawaona jamani...daaah.
Hizo kazi za polisi kama zimelaaniwa wengi wao wakistaafu wanapigika mbaya au wanapata maradhi sugu kama malipo ya dhuluma kama hizo kama huamini fanya utafiti sehemu unayoishi
 
Habarini waungwana,
Jana Jmos mie pamoja na Family yangu tulikwenda shambani ni katika kuitumia likizo yangu nikaona ni vema nikasaidie kazi za Shamba kidogo..na pana umbali wa kama km 72 toka nyumbani mpaka Shambani tulikwenda kuvuna mbaazi,kutokana na umbali huo na Shamba lipo polini ilitulazimu kuvuna na kuzibeba mpaka nyumbani sasa wakati tunarudi mishale ya saa 4 au 5 kasoro hivi tulikutana na polisi wa dolia wakanisimamisha wakaniomba kadi ya Gari nikawapa,leseni,nikawapa,Gari vibali vyote viko Sawa ila kama unavyojua wenzetu Hawa hawaishiwagi ngonjera... Wakaanza ooh kwann ninasafirisha mazao usiku,nikawauliza mashamba yanakuwaga mjini? Na nisingeweza kulala Shambani na familia kwasababu ni polini,pia Nina usafiri binafsi na muda haukuwa mbaya sana wa kunifanya nisirudi nyumbani,na istoshe siyo mazao ya biashara natoka kuvuna ...Mara oooh peleka Gari kituoni,Mara ooh huyo in baba yako kweli? Siyo baba yako sasa makosa mengine mapya kwa kweli..
Ila mwisho wa siku una tsh ngapi? Nkajiuliza kwa kosa lipi la mie kuvuna? Au la kutokulala Shambani? Baada ya kamzozo ka muda mrefu na nilikuwa na wanangu ndani ya Gari watu wamechoka kwa kazi za kutwa nzima nikaona isiwe Shida chukueni hii Elfu kumi tsh.10,000/= ingawa niliitoa huku roho inauma maana usawa huu daaah sijui siye wakulima twende wapi...JAMANI POLISI KUWENI NA KAUBINADAMU KIDOGO mmefanya Leo wanangu wanapigwa miayo tu kale ka 10,000/= ndiko kaliko kuwa mfukoni mpaka niuze mbaazi lini sasa...mjue Mungu anawaona jamani...daaah.
siku nyingine jifunze kuandika porini na sio polini kama mtoto mdogo
 
Pole sana mpwangu, sidhani kama kuna sheria inayosimamia wakati gani mazoa yavunwe, hao polisi waovu hawafanyi kazi kwa niaba ya serikali, bali matumbo yao. Ila pia nikulaumu kwa kuwapa pesa wakati umetuhakikishia, ulikua na vibari vyote mnawaendekeza kwa kukubari kuwapa pesa kirahisi.
 
Habarini waungwana,
Jana Jmos mie pamoja na Family yangu tulikwenda shambani ni katika kuitumia likizo yangu nikaona ni vema nikasaidie kazi za Shamba kidogo..na pana umbali wa kama km 72 toka nyumbani mpaka Shambani tulikwenda kuvuna mbaazi,kutokana na umbali huo na Shamba lipo polini ilitulazimu kuvuna na kuzibeba mpaka nyumbani sasa wakati tunarudi mishale ya saa 4 au 5 kasoro hivi tulikutana na polisi wa dolia wakanisimamisha wakaniomba kadi ya Gari nikawapa,leseni,nikawapa,Gari vibali vyote viko Sawa ila kama unavyojua wenzetu Hawa hawaishiwagi ngonjera... Wakaanza ooh kwann ninasafirisha mazao usiku,nikawauliza mashamba yanakuwaga mjini? Na nisingeweza kulala Shambani na familia kwasababu ni polini,pia Nina usafiri binafsi na muda haukuwa mbaya sana wa kunifanya nisirudi nyumbani,na istoshe siyo mazao ya biashara natoka kuvuna ...Mara oooh peleka Gari kituoni,Mara ooh huyo in baba yako kweli? Siyo baba yako sasa makosa mengine mapya kwa kweli..
Ila mwisho wa siku una tsh ngapi? Nkajiuliza kwa kosa lipi la mie kuvuna? Au la kutokulala Shambani? Baada ya kamzozo ka muda mrefu na nilikuwa na wanangu ndani ya Gari watu wamechoka kwa kazi za kutwa nzima nikaona isiwe Shida chukueni hii Elfu kumi tsh.10,000/= ingawa niliitoa huku roho inauma maana usawa huu daaah sijui siye wakulima twende wapi...JAMANI POLISI KUWENI NA KAUBINADAMU KIDOGO mmefanya Leo wanangu wanapigwa miayo tu kale ka 10,000/= ndiko kaliko kuwa mfukoni mpaka niuze mbaazi lini sasa...mjue Mungu anawaona jamani...daaah.
Pole mkuu ila pia mbaazi 600/-per kg na bei elekezi ni 1600/- per kg Watika mwaka jana hakukuwa na bei elekezi na mbaazi yetu tuliiuza mpaka 3000/-kg
 
Pole kaka... Ni mfumo unaoliendesha jeshi la polisi ndio wa kulaumiwa....
Kuwalaumu polisi kwa ujumla wake ni kama kulaumu ulipodondokea na kuacha ulipojikwaa.......
 
Hongera kwa kung'arisha boots za poris.. Hata rais Magufuli amefurahishwa kwa kweri!!
 
Pesa ya brashi hiyo, mkuu hana shida nayo.Personally i am fed up na ufisadi wa trafiki.
Haya ndiyo majipu makuu yaliyobaki kwa sasa. Jamaa ni kero kubwa. Mtu hana makosa wanalazimisha tu. Ni watu waovyo kabisa kwa sasa.
 
Pole kaka... Ni mfumo unaoliendesha jeshi la polisi ndio wa kulaumiwa....
Kuwalaumu polisi kwa ujumla wake ni kama kulaumu ulipodondokea na kuacha ulipojikwaa.......
Mkuu Kweli
Lote Limeoza
Hawana Utu
 
Polisi wanatia kinyaa.
Wanachukua hela nyingi halafu bado wanaishi viotani.
 
Back
Top Bottom