Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Habari wana jf
ninaye mjomba wangu mjeda kikosi cha navy nilikuwa sijaonana naye tangu uchaguzi uishe.
Basi nilianza kumuuoiza kuhusu siasa wao kama wajeda wanamsimamo gani na hali ilivyo sasa? Akanza kuniambia kuwa wanajeshi wote wa ngazi za chini hawaifagilii ccm na serikali yake mengi wanakuwa commanded na wakubwa wao. Akasema hata uchaguzi mkuu jk alinguka vibaya na wajeda waligawanyika sana lakini wakubwa walikomand masanduku ya kura ya bebwe kwa kutumia magari ya jeshi kwani huwa hakuna mtu wa kuhoji.
ninaye mjomba wangu mjeda kikosi cha navy nilikuwa sijaonana naye tangu uchaguzi uishe.
Basi nilianza kumuuoiza kuhusu siasa wao kama wajeda wanamsimamo gani na hali ilivyo sasa? Akanza kuniambia kuwa wanajeshi wote wa ngazi za chini hawaifagilii ccm na serikali yake mengi wanakuwa commanded na wakubwa wao. Akasema hata uchaguzi mkuu jk alinguka vibaya na wajeda waligawanyika sana lakini wakubwa walikomand masanduku ya kura ya bebwe kwa kutumia magari ya jeshi kwani huwa hakuna mtu wa kuhoji.