Mkuu sifahamu umri wako wala kiwango chako cha elimu bt mvuke unaotema hapa unaonyesha una matatizo makubwa.
Tahadhari "KUWA KICHAA SIO MPAKA UVUE NGUO" Jitathmini mwenyewe Makamba
we ndio mzembe kweli kweli, na wewe umejikubalisha kutemewa mate? du aibu mkuu kwani sweetlady nimemtemea mate ya uzazi na wewe unataka bado. mkuu hapa suala la umri halina nafasi kwani umri wako wewe ungekuwa unadhani unatusaidia usingekubali kuzoeshwa kwamba hufanyi jambo mpaka ulipwe kama ulivyo zoea huko kwa wanamaandamano.mwambie sweetlady kesho aje ofisini kwangu aone ninavyouza kahawa.mimi interview sitomuomba rushwa ya ngono kama alivozoea kugawa kama karanga.