Inauma kweli ila jaribu kufikiria long term zaidi. Chance ya kufanya hiyo paper ni kesho tu, na matokeo yake ni for a life time. CHances za kusolve kesi na mwenzio zipo nyingi, na matokeo ya kusolve/kutosolve hazina effect sana kwenye maisha in the long term, ingawa sasa hivi unaona kakuumiza sana. Basi, be strong and focus on your paper.Yaani nimeumizwa sna na kesho nina pepa sijui itakuwaje jamani naomben tuwe na kiasi
Yaani nimeumizwa sna na kesho nina pepa sijui itakuwaje jamani naomben tuwe na kiasi
Inauma kweli ila jaribu kufikiria long term zaidi. Chance ya kufanya hiyo paper ni kesho tu, na matokeo yake ni for a life time. CHances za kusolve kesi na mwenzio zipo nyingi, na matokeo ya kusolve/kutosolve hazina effect sana kwenye maisha in the long term, ingawa sasa hivi unaona kakuumiza sana. Basi, be strong and focus on your paper.
Yaani nimeumizwa sna na kesho nina pepa sijui itakuwaje jamani naomben tuwe na kiasi
Dogo soma kwanza mapenzi badae,utayakuta tu ukimaliza kusoma!!
Wenzio huwa hatuingii wazima wazima,so likitokea la kutokea,mtu unalchukulia poa 2 na maisha yanasonga ka kawa zake.
mpende kwa akili!
Chagua 1 acha paper u'solve tatizo, ama achana na mapenzi ucheze na prep! Gari la pertoli ni pertoli tu! Ukichanganya na diseal halitotembea!
Mnampa pole ila hajaeleza story yenyewe! Unaweza kukuta mwenyewe amechangia hadi kufikia kuumizwa, kwa hiyo hastahili pole!