24 November 2023
Vancouver, Canada
Mshambuliaji hatari wa Azam FC, Cyprian Kachwele umri miaka 18 amesainiwa katika klabu ya Vancouver Whitecaps FC
Taarifa ya klabu hiyo ya Canada inayoshiriki katika ligi ya Major League Soccer ya Marekani ya Kaskazini kupitia kocha mkuu Ricardo Clark inasema tayari wamemuingiza katika programu ya kuzoea mazingira mapya, na kumsaidia awaze kuanza katika timu ya kwanza ya klabu ya Vancouver Whitecaps FC
Ligi ya soka ya Marekani ya Kaskazini ya MLS ina wachezaji kadhaa maarufu kutoka mataifa mbalimbali duniani huku wengine wamecheza ligi kubwa za ulaya. Mfano wa mchezaji mwenye jina kubwa ni Lionel Messi mchezaji wa Inter Miami ambayo pia inashiriki ligi hiyo akiwa na wenzake kina Sergio Busquets, Jordi Alba na Javier "Chicharito" Hernadez mchezaji wa LA Galaxy aliyepitia Sevilla (LaLiga) Manchester United (Premier League) , Real Madrid (LaLiga) kwa kutaja kwa uchache
Toka maktaba:
Msimu ujao wa ligi ya MLS utaanza mwezi February tarehe 25, 2024. Pia timu ya Vancouver Whitecaps FC itashiriki michuano ya 2024 CONCACAF Champions cup inayoshrikisha timu za Marekani ya Kaskazini, Marekani ya Kati na Caribbean.
Vancouver, Canada
Mshambuliaji hatari wa Azam FC, Cyprian Kachwele umri miaka 18 amesainiwa katika klabu ya Vancouver Whitecaps FC
Taarifa ya klabu hiyo ya Canada inayoshiriki katika ligi ya Major League Soccer ya Marekani ya Kaskazini kupitia kocha mkuu Ricardo Clark inasema tayari wamemuingiza katika programu ya kuzoea mazingira mapya, na kumsaidia awaze kuanza katika timu ya kwanza ya klabu ya Vancouver Whitecaps FC
Source : Vancouer Whitecaps FCCyprian Kachwele's first looks on the pitch Club Reporter, Sarita Patel, welcomes Whitecaps FC 2 newcomer Cyprian Kachwele and checks in with Head Coach Ricardo Clark.
Ligi ya soka ya Marekani ya Kaskazini ya MLS ina wachezaji kadhaa maarufu kutoka mataifa mbalimbali duniani huku wengine wamecheza ligi kubwa za ulaya. Mfano wa mchezaji mwenye jina kubwa ni Lionel Messi mchezaji wa Inter Miami ambayo pia inashiriki ligi hiyo akiwa na wenzake kina Sergio Busquets, Jordi Alba na Javier "Chicharito" Hernadez mchezaji wa LA Galaxy aliyepitia Sevilla (LaLiga) Manchester United (Premier League) , Real Madrid (LaLiga) kwa kutaja kwa uchache
Toka maktaba:
Msimu ujao wa ligi ya MLS utaanza mwezi February tarehe 25, 2024. Pia timu ya Vancouver Whitecaps FC itashiriki michuano ya 2024 CONCACAF Champions cup inayoshrikisha timu za Marekani ya Kaskazini, Marekani ya Kati na Caribbean.