Mkuu Ptz hii ni kali sana nisingekuwa natumia simu ningekugongea like za kutosha
"ccm haijakataa kujadili
muungano, huo ni uongo
wa mchana kweupeee...
ilaaa tumesemaaa
muungano usiongelewe
uwepo au kutokuwepo
kwake..." (Nape:
Makambaku 7 June,2012)
Hebu punguza jazba wewe green guard.Ya nini? tuwekee cv yako kwanza tuone kama unaweza kuzisoma hizo cv za watu.
Ya nini? tuwekee cv yako kwanza tuone kama unaweza kuzisoma hizo cv za watu.
"ccm haijakataa kujadili muungano, huo ni uongo wa mchana kweupeee... ilaaa tumesemaaa muungano usiongelewe uwepo au kutokuwepo kwake..." (Nape: Makambaku 7 June,2012) naunga mkono mwenye cv ya Nape aitoe hapa jamvini.
Ya nini? tuwekee cv yako kwanza tuone kama unaweza kuzisoma hizo cv za watu.