CV ya Mkulu wa Bangoi (JK)

ni mdogo wa Salma ameolew ana waarabu wao wanaokuja kila siku kuomba deal.........
 
RBP2.jpg


Kwa nini huyu anaitwa MAMA RAHMA AL KHAROOS na baadhi ya vyombo vya habari? Ni mama wa nani?
http://4.bp.blogspot.com/_HO8ijU76ZcQ/TOLe1KpzweI/AAAAAAABTbU/VbMtGXc9Tpg/s1600/RBP2.jpg


Sasa na huyu naye anahusianaje na CV ya Mkulu? Mbona unatuchanganya, tuambie tuelewe uhusiano!!
 
Hapo yaonyesha urijali wa mwanaume, ww vp hata mmoja huna !!

Kilichomuweka madarakani ni ili kuleta maendeleo ya Mtanzania sio kuzaa, kumbe ile program ya NYOTA YA KIJANI ni kwa ambao sio marijali?Tunataka kuona nchi inasonga mbele kimaendeleo sio kuona mambo tofauti ebooo!:frusty:
 
Kilichomuweka madarakani ni ili kuleta maendeleo ya Mtanzania sio kuzaa, kumbe ile program ya NYOTA YA KIJANI ni kwa ambao sio marijali?Tunataka kuona nchi inasonga mbele kimaendeleo sio kuona mambo tofauti ebooo!:frusty:

Kumbe wa kuja angalia hii:
Join Date Wed Jan 2011 Posts 4 Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts
 
TO 1988-1990Deputy Minister for Energy and Minerals
FROM 1986-1988 Nachingwea and Masasi Districts (CCM) Secretary General
 
thats useless, jinsi alivyopambwa kwenye cv hiyo utasema ni wa maana, kumbe pumbafu tu, nchi imemshinda anakalia majungu tu na kuwakumbatia mafisadi.
 
profile of hon. Jakaya mrisho kikwete

images.jpg











born on 7th october 1950 at msoga, bagamoyo district, coast region, sixth born in the family of nine children. He is married to mama salma kikwete and blessed with eight children
career background
1995-2005minister for foreign affairs and international cooperation
1995-2005member of parliament for chalinze constituency
1994-1995 minister for finance
1990-1995 member of parliament for bagamoyo constituency
1990-1994 minister for energy, minerals and water development
1988-1990deputy minister for energy and minerals
1986-1988 nachingwea and masasi districts (ccm) secretary general
1983-1986 political tutor at the tanzania military academy in monduli
1981-1983 tabora ccm regional secretary
1980-1981administrative officer ccm headquarters
1977-1980 deputy secretary of ccm, zanzibar
1976-1977singida regional secretary of tanu
1975-1976deputy regional secretary of tanganyika african national union (tanu) in singida

education
feb. 2010 honorary doctoral degree in international relations from the university of fatih, istanbul, turkeydec.
2008 honorary doctoral degree in humane letters from the university of kenyatta, nairobi, kenyasep.
2006 honorary doctoral degree in law from st. Thomas university of minneapolis, minesotta, usa

(sijui education hii aliipata saa ngapi)

1983-1984military leadership training(where?)
1976-1977 military training at tanzania military academy (tma) at monduli
1972-1975 b.a (economics) university of dar es salaam
1970-1971 tanga secondary school
1966-1969 kibaha secondary school
1962-1965 lugoba middle school
1958-1961 msoga primary school

other distinguished posts held
july 2010chairman of the african leaders malaria alliance (alma) for 2010-2011
jan 2010 chairman of the east african community (eac)
2008chairman of the african union (au)
2004 co-chair of the helsinki process on globalisation and democracy
2004 chairman of the council of ministers of the southern african development community (sadc) 1997chairman of the council of ministers of the organisation of african unity (oau)
1997 chairman of the council of ministers of the east african community (eac).
1997chairman of the group of 77(what?...kings or presidents)
1995chairman of the board of governors of the east african development bank (eadb )

source: jakaya mrisho kikwete

kumbe ni kichaa ana tatizo huyu
 
Bado CV inaendelea;

wake wa nje..........
vimada............
hobi.............. (disco)
safari za nje..........
 
thats useless, jinsi alivyopambwa kwenye cv hiyo utasema ni wa maana, kumbe pumbafu tu, nchi imemshinda anakalia majungu tu na kuwakumbatia mafisadi.

you real made my day!!! ndiyo maana Prof Libumba alisema the chap is just good for publicity not presidency!!
 
Wekeni basi ya Slaaa wakuu ili tupambanue


Profile ya Dr Slaa

EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969

Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960

EMPLOYMENT HISTORY
Tanzania Society for Blind Managing Director 1992-1998
Tanzania Episcopal Conference Secretary General 1985-1991
Diocese of Mbulu Development Director 1982-1985
Diocese of Mbulu Vicar General 1982-1985
Diocese of Mbulu Development Director 1977-1979
Diocese of Mbulu - Roman Catholic Church Padre 1977-1991

POLITICAL EXPERIENCE

CHADEMA Principal Secretary 2002
CHADEMA Vice Chairman 1998 2002
CHADEMA Member of Parliament (Karatu Constituency) 1995 To date
CHADEMA Member of National Executive Committee 1995 -
Chama Cha Mapinduzi - CCM Secretary Foreign Branch (Rome) 1980 1982
Youth Union -TANU Secretary 1974 1977
TANU Chairman (Kipalapala Branch) 1974 1977

Retrieved on 13/7/2006 - www.parliament.go.tz
 
Profile of Hon. Jakaya Mrisho Kikwete

images.jpg











Born on 7th October 1950 at Msoga, Bagamoyo District, Coast Region, sixth born in the family of nine children. He is married to Mama Salma Kikwete and blessed with eight children
CAREER BACKGROUND
1995-2005Minister for Foreign Affairs and International Cooperation
1995-2005Member of Parliament for Chalinze Constituency
1994-1995 Minister for Finance
1990-1995 Member of Parliament for Bagamoyo Constituency
1990-1994 Minister for Energy, Minerals and Water Development
1988-1990Deputy Minister for Energy and Minerals
1986-1988 Nachingwea and Masasi Districts (CCM) Secretary General
1983-1986 Political Tutor at the Tanzania Military Academy in Monduli
1981-1983 Tabora CCM Regional Secretary
1980-1981Administrative officer CCM Headquarters
1977-1980 Deputy Secretary of CCM, Zanzibar
1976-1977Singida Regional Secretary of TANU
1975-1976Deputy Regional Secretary of Tanganyika African National Union (TANU) in Singida

EDUCATION
Feb. 2010 Honorary Doctoral Degree in International Relations from the University of Fatih, Istanbul, TurkeyDec.
2008 Honorary Doctoral Degree in Humane Letters from the University of Kenyatta, Nairobi, KenyaSep.
2006 Honorary Doctoral Degree in Law from St. Thomas University of Minneapolis, Minesotta, USA

(sijui education hii aliipata saa ngapi)

1983-1984Military Leadership Training(WHERE?)
1976-1977 Military Training at Tanzania Military Academy (TMA) at Monduli
1972-1975 B.A (Economics) University of Dar es Salaam
1970-1971 Tanga Secondary School
1966-1969 Kibaha Secondary School
1962-1965 Lugoba Middle School
1958-1961 Msoga Primary School

OTHER DISTINGUISHED POSTS HELD
July 2010Chairman of the African Leaders Malaria Alliance (ALMA) for 2010-2011
Jan 2010 Chairman of the East African Community (EAC)
2008Chairman of the African Union (AU)
2004 Co-Chair of the Helsinki Process on Globalisation and Democracy
2004 Chairman of the Council of Ministers of the Southern African Development Community (SADC) 1997Chairman of the Council of Ministers of the Organisation of African Unity (OAU)
1997 Chairman of the Council of Ministers of the East African Community (EAC).
1997Chairman of the Group of 77(What?...KINGS or PRESIDENTS)
1995Chairman of the Board of Governors of the East African Development Bank (EADB )

SOURCE: Jakaya Mrisho kikwete

kama hii cv kaiandaa mwenyewe rais wa kuchakachua basi ni kilaza,!!itawezekana vp 1988 alikuwa naibu waziri wa nishati na madini halafu anasema ubunge ameupata kuanzia mwaka 1990??ina maana kipindi hicho ulikuwa unaweza kupewa uwaziri bila kuwa mbunge?

siuelewi mpangilio wa hii resume,..ndo maana uchumi umebakwa!!!halafu mbona cv imejazwa mavyeo ya tanu na ccm?
 
Huyu jamaa kumbe alisoma degree ya uchumi91972-1975 B.A (Economics) University of Dar es Salaam) mbona siku ile ya mdaharo wa kuchakachua alisema hajui hesabu. Na kweli amedhibitisha uchumi hauwezi mimi hudhani kasoma political science.

Huyu jamaa hakuna anachokijua zaidi ya CCM na TANU maake CV imejaa CCM na TANU unategemea nini?
 
Back
Top Bottom