Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 612
Duh hiyo imetulia sana kwa mbunge wangu wa ubungo, kifupi ukitaka kujua mtu wenye akili we angalie matokeo yake ya form four tu.
Ukikutana na mtu ana PHD then matokeo ya form four ana FOUR ya nguvu basi utajua tu MAGUMASHI.
Una uhakika na hapo ulikazia??..usichukulie watu wawili watatu ukaconclude...