CV ya John Mnyika

Duh hiyo imetulia sana kwa mbunge wangu wa ubungo, kifupi ukitaka kujua mtu wenye akili we angalie matokeo yake ya form four tu.

Ukikutana na mtu ana PHD then matokeo ya form four ana FOUR ya nguvu basi utajua tu MAGUMASHI.


Una uhakika na hapo ulikazia??..usichukulie watu wawili watatu ukaconclude...
 
Form Four (1998) Maua Seminary div 1 point 7, A (tisa)9, out of 10 subjects!

form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.

Mimi ni shabiki wake pia lkn sipendi ukweli unapopindishwa kwenye jambo lolote si siasa peke yake,BBA alijiunga ambapo ilikua ni kozi ya jioni akiwa na umri 24 huku akiendelea na siasa lakini hakumaliza mpaka sasa,maua sem ni kweli div 1.7,Tambaza 3 ya mwanzo,alikua open university sina uhakika kama tayari au..sisemi kwa ubaya.

Maua Seminary ni sawa ila Tambaza na UD umechakachua, Tambaza alipata Div 2 weak na UD alifanya LLB
Sijui nimuamini yupi hapa, labda huyu mwenye sura nzuri NOT ENOUGH, ndio maana huwa napenda kuwepo mwenyewe kwenye matukio.
 
Najua alisoma udsm,ila cjui course gani,kama ni BBA hyo kwa ud ilikuwa ni everning prgram,hasa kwa mature entry,sasa mwenye data za uhakika atupe,ila jamaa ni mzuri.
 
Jamani mbona sielewi hii cv yake?!mara amepata division 1 ya pts 3 mara amepata division 3 ya mwanzo mara division 2 alipomaliza form six..twambieni ukweli basi acheni kusifia sifia na kupaka mafuta kwenye chupa.nachokumbuka ni kwamba nilikuwa na mnyika udsm 2004 wakati wa mgomo wa kumuondoa kayombo kwenye urais lakini sikumbuki alikuwa anasoma kozi gani, pia wakati huo BBA ilikuwa haijaanza!!
 
Jamaa ni fuvu la ukweli,akiendelea hivi atafika mbali sana.Muhimu ajazie kashule kidogo kidogo maana umri naona unamruhusu sana.
 
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.
TAMBAZA ALIPATA Div 2:10, alikuwa hajatulia na masomo, c mnakumbuka ezi zile za TYVA (Tanzania Youth Vision Association) kipindi kile ziara za nje ya nchi zilizidi. Nakumbuka alikataa kujoin UDSM B.COM FULL TIME APATE MUDA WA KUFANYA MAMBO YAKE ndio akaenda BBA Evening! Kifupi Mnyika yupo safi kichwani!
 
Hi wadau!
Mimi ni mmoja wa naomuunga mkono na hata kukubaliana sana na mambo mengi ya kimaendeleo pamoja na uongozi wake mbunge wa Ubungo mh. Mnyika ila sijafanikiwa kupata cv yake nakuweza kumfaham vizuri hasa kwa upande wake wakielimu yoyote mwenye kujua kindly help.

Na pia kwa kuwa Sharp Lady humfahamu vizuri jamaa analipa; jaribu habati yako.......
 
Future presidential material ambayo iko silent wala haina papara kama akina Kabwe na Zitto. Nami nampa big up
 
TAMBAZA ALIPATA Div 2:10!


Hivi hawa wanaosomaga seminari kuna siri gani? kutoka div one pwenti seven hadi two , kuna jamaa alikuja shule yetu(
Milambo Wanaume) na pwenti saba zake kutoka maua kichwani alikuwa mupu hadi walimu wakawa wanamtania muuza feki.
 
Mbona kwenye mjengo kule Dodoma huyu Mnyika na wabunge wengi mayanki wamekuwa mabubu na hawashi ule moto kama wa akina Zitto? So far mimi namfagilia Lissu na Zitto
 
Mbona kwenye mjengo kule Dodoma huyu Mnyika na wabunge wengi mayanki wamekuwa mabubu na hawashi ule moto kama wa akina Zitto? So far mimi namfagilia Lissu na Zitto
Mkuu hujaliona bunge jioni ya leo, dogo mkali sana yule. Lisu nae jembe!
 
form 4 div 1 pts 7 na A(9) out 10 maua sec, A level div 1 pts 3 Tambaza sec then akajiunga chuo (udsm) kamaliza BBA wakati wakiwa udsm na akina zitto na mdee walianzisha mtandao wao ulikuwa unaitwa Tz students netwek prgm(TSNP) ambayo mara ya mwisho m/kiti alikua owawa, mmoja kati ya waanzilishi wa asasi za kijamii kama UNA, TYVA na pia muanzilishi wa n.g.o inaitwa UDI. Hiyo kwa kifupi 2. Aligombea ubungo mwaka 2005 mara 2 alipomaliza chuo na akiwa na umri wa miaka 24. in short ni m2 mwenye kipaji cha pekee.


Hiyo ya form four nakubaliana na wewe kwakuwa Mnyika aliniacha pale Maua seminary lakini Hapo kwenye red umedanganya, alipata div 2 pt 10. Ila ilikuwa justifiable kwakuwa akiwa A level huyu mheshimiwa alikuwa na amjukumu mengi sana mara kadhaa alikuwa hata akisafiri nje ya nje.
 
Hivi hawa wanaosomaga seminari kuna siri gani? kutoka div one pwenti seven hadi two , kuna jamaa alikuja shule yetu(
Milambo Wanaume) na pwenti saba zake kutoka maua kichwani alikuwa mupu hadi walimu wakawa wanamtania muuza feki.


Tatizo ni mfumo wa elimu wa kupewa kila kitu tofauti na shule za serikali, mie nimesoma seminary (maua) o level....A level shule ya serikali, chuo kikuu UDSM na Masters nje ya nchi kwa scholarship (based on merits)....huko kote matokeo yangu ni consistent, nimetandika "As" mwanzo mwisho. Kama unatoka seminary unapaswa ukienda serikali uji-adjust na mazingira la sivyo lazima uumbuke. Mie miaka yote minne niliyokaa maua mwl. wa chemistry alikosa kipindi mara moja tu tena alifiwa, nimeenda serikalini, mwalimu wa GS kaingia darasani mara moja tu miaka yote miwili, sasa hapo ndio uone kivumbi chake, na masomo mengine ni hivyohivyo.
 
Hivi mnafahamu cv za Bill Gates? mkizifahamu hamtapoteza muda wenu wa kujadili makaratasi badala ya upstairs. kama shida yenu ni makaratasi Augustino Mrema nae ni PHD HOLDER. mpo hapo?
 
Back
Top Bottom