Jagermaster
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 654
- 317
Jussa hana aibu kusema mambo ya waafrika, haya ndio masalia yaliyopona wakati wa Mapinduzi. Iddi Amini Dada alishawahi sema Hitler hakuwauwa wayahudi wa kutosha , ndio maana wanasumbua dunia. Na sisi tunasema Mapinduzi ya January 1964 hayakungo'a waarabu wa kutosha. Waliobaki ndio hawa wanaotusumbua kama Jussa. Kwa nini asiongelee kwao Oman ambako Marekani wamewaka nyambizi zao kule wanachezewa kama watoto wadogo anakomaa na mambo ya Waafrika. Ni vizuri kama tungekuwa tunasikia na sauti za Waafrika wa Unguja wasemaje,badaya kusikia huyo yellow Zanzibar alijifanya anatetea mali ya Wazanzibar huku akiwa na ajenda ya siri toka Oman.Toka lini Jussa umekuwa msemaji wa Zanzibar?. So long as eneo la bahari la Tanzania liko mpaka Mtwara, Tanga Mafia n.k litaongezwa tu. Call this statement xenophobic, whatever the names, but the message is... we know as Africans, the war to plune all those yellow who still sucks our God given resources is still on, the revolution is not over