Sir Lindege
Member
- Sep 10, 2013
- 34
- 180
Chama cha wananchi (CUF) upande wa Lipumba, kimesema aliyekuwa mbunge wa Kinondoni kupitia chama hicho Maulid Mtulia amejiuza kwa CCM na alikuwa akijaribu kufanya hivyo kwa muda mrefu
- Afisa habari wa chama hicho, Abdul Kambaya amesema Mtulia alishawahi kujitoa kugombea udiwani dakika za mwisho mwaka 2005 na pia kujaza vibaya fomu ya kugombea ubunge mwaka 2015 na kusababisha NEC kumuondoa
- Afisa habari wa chama hicho, Abdul Kambaya amesema Mtulia alishawahi kujitoa kugombea udiwani dakika za mwisho mwaka 2005 na pia kujaza vibaya fomu ya kugombea ubunge mwaka 2015 na kusababisha NEC kumuondoa