JOB SEEKER
Senior Member
- Aug 1, 2011
- 145
- 33
Wana Jf
Mnamo mwaka 2001,CUF ilifanya maandamano makubwa Zanzibar
kwa nia ya dhati ya kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Katika maandamano hayo watu zaidi ya 70 Walipoteza maisha huku
katibu mkuu wa chama hicho Maalim Seif akinjika mkono yote hayo
ni katika kudai haki na ukombozi wa mzanzibar dhidi ya uonevu wa
serikali iliyokuwa madarakani.
Hakuna anayebeza harakati za CUF hata kidogo,walifanya mambo ya
msingi ili kutetea demokrasia katika visiwa vya zanzibar mwaka 2001
Lakini cha kushangaza wana CUF Wamesahau walichokuwa
wanapiganiana, kulilia mwaka 2001,Haingii akilini utawezaje kupata
katiba mpya juu ya mfumo uliopo sasa,Tume zinazochaguliwa na
Raisi zimekuwa chanzo cha maovu,utawezaje kupata katiba mpya juu
ya Tume ya uchaguzi inayoratibu shughuli za katiba, iliyochaguliwa
na Raisi ambaye ni kiongozi wa chama cha siasa na utendaji
umekuwa mashakani kwa miongo kadhaa,Cuf inasapoti haya
pamoja na mengine mengi, Wanzibar baadhi yao walipoteza maisha
kama ishara ya ukombozi,wengine waligeuka wakimbizi katika nchi
yao.Je walikuwa walilia katiba mpya kwa mifumo iliyokandamizi kama hii ???
CUF walichokuwa wanalilia nini ?? tamaa ya uongozi au
wananchi,kwanini walikuwa wanapinga katiba iliyopo kwani ilipakana
katika njia ambazo ni kandamizi ambapo njia hizo ndizo
wanasapoti sasa ili kupata katiba mpya, wamewasahau wananchi wa
wazanzibar na huu ni USALITI Unaotakiwa kupingwa.
Wanatakiwa kujua kwamba muafaka wao na ccm siyo chanzo cha kuwasaliti
wazanzibari bali nakujiona sehemu ya ccm bali kutetea walichokuwa wanakiamini
na siyo kutetereka CUF HATUHITAJI BORA KATIBA BALI TUNAHITAJI KATIBA BORA.
JOB SEEKER
Mnamo mwaka 2001,CUF ilifanya maandamano makubwa Zanzibar
kwa nia ya dhati ya kudai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Katika maandamano hayo watu zaidi ya 70 Walipoteza maisha huku
katibu mkuu wa chama hicho Maalim Seif akinjika mkono yote hayo
ni katika kudai haki na ukombozi wa mzanzibar dhidi ya uonevu wa
serikali iliyokuwa madarakani.
Hakuna anayebeza harakati za CUF hata kidogo,walifanya mambo ya
msingi ili kutetea demokrasia katika visiwa vya zanzibar mwaka 2001
Lakini cha kushangaza wana CUF Wamesahau walichokuwa
wanapiganiana, kulilia mwaka 2001,Haingii akilini utawezaje kupata
katiba mpya juu ya mfumo uliopo sasa,Tume zinazochaguliwa na
Raisi zimekuwa chanzo cha maovu,utawezaje kupata katiba mpya juu
ya Tume ya uchaguzi inayoratibu shughuli za katiba, iliyochaguliwa
na Raisi ambaye ni kiongozi wa chama cha siasa na utendaji
umekuwa mashakani kwa miongo kadhaa,Cuf inasapoti haya
pamoja na mengine mengi, Wanzibar baadhi yao walipoteza maisha
kama ishara ya ukombozi,wengine waligeuka wakimbizi katika nchi
yao.Je walikuwa walilia katiba mpya kwa mifumo iliyokandamizi kama hii ???
CUF walichokuwa wanalilia nini ?? tamaa ya uongozi au
wananchi,kwanini walikuwa wanapinga katiba iliyopo kwani ilipakana
katika njia ambazo ni kandamizi ambapo njia hizo ndizo
wanasapoti sasa ili kupata katiba mpya, wamewasahau wananchi wa
wazanzibar na huu ni USALITI Unaotakiwa kupingwa.
Wanatakiwa kujua kwamba muafaka wao na ccm siyo chanzo cha kuwasaliti
wazanzibari bali nakujiona sehemu ya ccm bali kutetea walichokuwa wanakiamini
na siyo kutetereka CUF HATUHITAJI BORA KATIBA BALI TUNAHITAJI KATIBA BORA.
JOB SEEKER