Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Ninaweza kumuelewa Slaa japo kidogo lakini siyo prof. Lipumba, alikuwa hana sababu ya msingi hadi kusababisha kujiuzulu.
Haiingii akikini mtu mzima kama prof. kujiuzulu kisa eti Chadema imemkaribisha mwanachama asiyemtaka yeye m/kiti wa chama kingine lazima kuna nguvu nyuma, ila atambue pamoja na vyote alivyoahidiwa amejishushia heshima kitaifa na kimataifa.
unamuelewa slaa kvp na usimwelewe lipumba kvp, kama nawe si unafiki na ubaguzi, lipumba kavumilia mangapi, we unajua kiwango alicho kwazika,?penda kuheshimu maamuzi ya mtu yeyote,iweje maamuzi ya slaa umeona sahihi na isiwe kwa lipumba ili hali wote walishiriki mchakato huu unaondelea. Acha kujifanya hamnazo kuwa bright person with right opinion