MTANGANYIKA ORIGINAL
Member
- Apr 6, 2012
- 28
- 11
Julius Mtatiro
5 minutes ago near Ikwiriri, Pwani via mobile
Wabunge wote wa CUF watasaini katika waraka wa sahihi za wabunge kufanikisha uwasilishaji wa hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ili baraza la mawaziri "wezi" wanaotetewa chini ya kivuli cha waziri mkuu na rais LIVUNJWE. Mungu ibariki Tanzania. Mapambano yanaendelea...
5 minutes ago near Ikwiriri, Pwani via mobile
Wabunge wote wa CUF watasaini katika waraka wa sahihi za wabunge kufanikisha uwasilishaji wa hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ili baraza la mawaziri "wezi" wanaotetewa chini ya kivuli cha waziri mkuu na rais LIVUNJWE. Mungu ibariki Tanzania. Mapambano yanaendelea...